Iramusm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 509
- 314
Mimi sijasusa, ila automatically nimejikuta siangalii kabisa ITV kwa sababu ya viwango vyao vibovu, vipindi hovyo na watangazaji wenye uelewa na upeo mdogo kabisa, inaboa hata kuangalia ule upuuzi, TBC1 kiwango kwa sasa.
Magazeti yao nlijikuta tu baada ya Magazeti yalioenda shule katika uchambuzi kama Mwananchi na Mwanaspoti kuingia.Zamani nlikuwa sikosi Lete Raha, lakini these days hata sijui kama bado lipo.
Magazeti yao nlijikuta tu baada ya Magazeti yalioenda shule katika uchambuzi kama Mwananchi na Mwanaspoti kuingia.Zamani nlikuwa sikosi Lete Raha, lakini these days hata sijui kama bado lipo.