Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
ni sumuuu usijaribu chombezaaaaaayatakuja yakupateeeeusiyoyategemeeeamke wa mtu
ni sumuuu usijaribu chombezaaaaaayatakuja yakupateeeeusiyoyategemeeeamke wa mtu
Ni mke wa nani vilekiukweli ninampenda sana besta! Nitaheshim sana ndoa yake kwa kujaribu kupunguza hisia zangu kwake!
Hili jina la Besta, nadhani sio geni kwa wadau wa tasnia ya muziki wa hapa nyumbani (Bongo Fleva).
Swali langu ni kuhusu hili umbo la huyu mdada Besta kama umbo lake au shepu yake ni mchina (alitumia dawa kuliongeza)maanake si mchezo, kila nnapo muangalia nadata!
correction unafanyia kwenye post hiyohiyo uliyokosea sio lazima ufungue post mpya. baada ya kuandika post na ku-kupost mwisho kwenye chumba chako cha post huwa kuna maneno "edit post, reply, reply with quote ..." hapo ndio unapofanya masahihisho yako unayotaka.Correction please, nilimaanisha hiyo sio mchina amejaaliwa na muumba