Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Wiki moja nyuma, tukiwa tunasafiri, mimi na wenzangu wa5 , (wote wanaume)
safari tuliondoka asubuhi, na mpaka kufikia nyakati za adhuhuri, takriban wa5 kati yetu tulishapokea simu kadhaa za kupigiwa.
Mwenzetu mmoja hakua amepokea hata simu 1 tangia tumeanza safari.
Kwa kifupi ni kwamba mwenzetu huyu usiku wa kulalia safari, mkewe alitoa chip yake jamaa akaiweka kwenye simu yake na chip yake mke akamuwekea mumewe, kwa maksudi ya upelelezi.
Na kweli deal ya shemeji yetu ikazaa matunda kwani msgs mbili zilizotoka kwa No tofauti, ziliingia kwenye chip ya jamaa yetu.
Msg ya kwanza ikimuhimiza jamaa akamalizie kumlipia mtoto fees , na ya pili ikimlalamikia kama kashindwa kuitunza mimba, basi aliyeibeba ataitoa.
Niongeapo hapa mke karudi kwao na kuna kina dalili ya kuvunjika kwa ndoa.
Je?
Hii kufatiliana hapa si kumeleta hasara kubwa kuliko faida ?
Nawaasa wana wa Bodi tuache kuchunguzana kihivi.
safari tuliondoka asubuhi, na mpaka kufikia nyakati za adhuhuri, takriban wa5 kati yetu tulishapokea simu kadhaa za kupigiwa.
Mwenzetu mmoja hakua amepokea hata simu 1 tangia tumeanza safari.
Kwa kifupi ni kwamba mwenzetu huyu usiku wa kulalia safari, mkewe alitoa chip yake jamaa akaiweka kwenye simu yake na chip yake mke akamuwekea mumewe, kwa maksudi ya upelelezi.
Na kweli deal ya shemeji yetu ikazaa matunda kwani msgs mbili zilizotoka kwa No tofauti, ziliingia kwenye chip ya jamaa yetu.
Msg ya kwanza ikimuhimiza jamaa akamalizie kumlipia mtoto fees , na ya pili ikimlalamikia kama kashindwa kuitunza mimba, basi aliyeibeba ataitoa.
Niongeapo hapa mke karudi kwao na kuna kina dalili ya kuvunjika kwa ndoa.
Je?
Hii kufatiliana hapa si kumeleta hasara kubwa kuliko faida ?
Nawaasa wana wa Bodi tuache kuchunguzana kihivi.