MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Hapana wifi, huu unaonekana ni wa kuzamia tu,...Hongera mwaya,
Mie iko penda sana ww,
BTW,mnuso huo una kadi au?
Hapana wifi, huu unaonekana ni wa kuzamia tu,...
Hongera sana mj1, tunakupenda pia sana...
Sherehe iko pande zipi?
Hongera mwaya,
Mie iko penda sana ww,
BTW,mnuso huo una kadi au?
Hujambo bi mkubwa???
Mbona unatualika nusu nusu leta habari nzima
eneo la tukio wapi??
na wewe wataka
Wewe hutaki......halafu acha uchoyo wa like umepewa 50 wewe umetoa sita tuu?
Mi c mchoyo. Mara nyng nakuwa na2mia mobile phone. Hakuna like via G tide.
Lol, yale maghorofa sio mchezo ati lazima nishangae,..Wewe nimekuona sehemu ukishangaaa mzima lakini
Inahuuuuuuu!Uko mjini kwa kutegemea mnuso wa sherehe.
Hiyo ni sababu ya nyongeza si ya msingi.........Asante
Inahuuuuuuu!
Yatakushinda!
Lol, yale maghorofa sio mchezo ati lazima nishangae,..
Mie mzima kabisa DA sema nimekununia.
Afu wewe, hebu toka nje bana usituharibie shughuli, kwanza unamuamsha mtoto...kumbe kweli? Kwi kwi kwi kwi.
Hahahaha! Nabisha...Ha ha ha ha mie kuninunia huwezi
bisha uone nitakavyokutendea