Baba Mchungaji
Member
- Jul 25, 2011
- 32
- 12
nawashukuru wana jamii forum kwa kunipokea na kunikaribisha. nawatakieni amani!.
Karibu mpaka chumbani. baba mchungaji. nafikiri utaliunga mkono wazo langu la kuomba jukwaa la dini/imani lirudishwe.
Baba mchungaji.............amani iwe pia kwako,hongera kwa kupokelewa nami pia ninakukaribisha...............wewe,mama chungaji kama yupo na hata wana kondoo unaowachunga kwa mikono miwili,mjisikie mkuo nyumbani....................hawajambo huko unapotokea,......?nawashukuru wana jamii forum kwa kunipokea na kunikaribisha. nawatakieni amani!.
Karibu.. manake duu.. sijui itakuwaje katika kuwatofautisha na baba mchungaji wetu tuliyemzoea.. Namaanisha Masa..