Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Nasubiri za wazee WEUSI kama mimi wapendanao.
I bet hizo kuzipata kwake ni kama unachimba dhahabu, ha haaaaaaaaa
I bet hizo kuzipata kwake ni kama unachimba dhahabu, ha haaaaaaaaa
.Nasubiri za wazee WEUSI kama mimi wapendanao.
I bet hizo kuzipata kwake ni kama unachimba dhahabu, ha haaaaaaaaa
ha haaaaaaaaaaaaaa, picha zao ni kama wamelazimishwa......................... hawaja-relax.................... yaani kama wameambiwa kaeni hapo tuwapige picha za kuweka mtandaoni..................... siyo natural........................
Nyie Fixed Point na Edo mna lengo gani? ... mna maanisha nini ... mnachokimaanisha wala hakiko hivyo .... kwa hiyo mnataka kumaanisha hakuna couple wazee weusi?! .... let me prove you wrong!
Na hapa Je?
.ha haaaaaaaaaaaaaa, picha zao ni kama wamelazimishwa......................... hawaja-relax.................... yaani kama wameambiwa kaeni hapo tuwapige picha za kuweka mtandaoni..................... siyo natural.......................
hapa safi....................... naomba kuuliza, hawa ni raia wa wapi? Kenya, uganda, TZ, msumbiji........?
.hapa safi....................... naomba kuuliza, hawa ni raia wa wapi? Kenya, uganda, TZ, msumbiji........?
.jamani jamani, hao wa juu ndo wale niliosema wa kulazimishwa.
hao niliowapiga na LIKE, kama hawajaoana siku za karibuni, basi wanaibana...................
kama mkaazi wa Dar na unakuwa sana kwenye zile foleni asubuhi, utaliona sana hili.
Kwa hili nakubaliana na wewe kidogo .... umenikumbusha kuna mtu alishawahi kuniambia kwa Waafrika asilimia kubwa kuwa ukiona kwenye gari mbele kama kuna watu wawili wamekaa Mwanamme na Mwanamke ... kama wanacheka na wanaongea kwa furaha basi ujue kuwa ni penzi jipya pia siyo mke na mume .... Alafu eti kama wamenuna / hawaongei na kila mtu anataimu yake basi ujue kuwa hao ni mume na mke! ... kuna ukweli asilimia kubwa!
.
Nyie Fixed Point na Edo mna lengo gani? ... mna maanisha nini ... mnachokimaanisha wala hakiko hivyo .... kwa hiyo mnataka kumaanisha hakuna couple wazee weusi?! .... let me prove you wrong!
Na hapa Je?