Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,396
- 92,726
Mimi ni mbeba box mstaafu, sasa ni mjasiliamali tu hapa mjini, i think huyo mchuchu yuko interested na mbeba box, si unajuwa tena mambo ya Viza na kwenda mamtoni! lazima avuwe chupi.Si kajitambulisha hapo juu?
Au unafanya kuuliza tu.Yule atakaejichekesha chekesha badala ya kujibu swali NDIE.