Wapare na shemeji yao malecela

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
THATHA NYIE WAPARE KAMA MMEONA MMEPENDELEWA KUPATA YULE THEMEJI YENU KUTOKA UGOGONI TUTAWAACHA NAYE TUNAVYOJITENGA,SHAURI YENU!:angry::frown::frown::frown::frown::frown:
 
Shemeji yenu wapare kaongezwa kwenye orodha ya mafisadi, je inawezekana dada yenu kupona kuwa fisadi wakati hata harusi yao ilifadhiliwa na fedha za EPA!
 
ktk mkoa wa kilimanjaro maeneo yote ya wapare waliwapa ccm kura!sijui tunapata faida gani toka ccm na huku mashule,barabara tumejenga kwa nguvu zetu wenyewe-msaragambo.inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom