MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 952
- 354
karibun utamsikia mchungaji mtikila kafungua kesi kuhusu serikali na babu!manake yule jamaa akiwa hana kesi anakua kama teja lililokosa unga!
Mkuu inaonekana haujaisoma hiyo habari hadi mwisho.Mtikila yupo somewhere kwenye hiyo habari isome vizuri