Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Picha ya leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Mawasiliano ya Simu Bwana Hamadoun Toure Ikulu mjini Dar es Salaam. Bwana Toure katika ujumbe wake alifuatana na Mwakilishi wa shirika hilo barani Africa Ms Asenath Mpatwa.
Rais Mugabe wa nchi ya Matebeleland akiwa Vatican City Rome - Italy na mpambe wake nyuma
Mapokeo ya Mpambe wa Rais na magwanda yake hata katika chumba cha pekee cha mazungumzo na wageni inatia kichefuchefu. Hii si kwa Tanzania tu, ila ni kwa mataifa mengi ya Kiafrika. Mfano majuzi hata Rais Mugabe wa Zimbabwe alionekana na mpambe wake Rome. Ingefaa kama wangejaribu kubuni njia ya kuwa na mpambe kisasa.