Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Mbona hujibu unapozitoa hz picha ni blog ganì? Mana zimenikosha,
Mtoto cute ni pm nikupeleke ukapate Heineken baridi muruasijajua bado hua unazitolea wapi hizi photo
ziko poa sana
what a pose!....
MadameX huna haja ya kufanya booking. Picha zake wala hutataka kuzibandika maana kutakuwa hakuna migongo wazi, hakuna mapaja nje, hakuna vifua wazi wala milegezo. Wasimamizi wote full kanzu, bazee na bileku ya mpanya. Hazitakuwa na mijadala.Allien, na wewe waoa lini tujezibandika zako. Mimi nabook kabisa kuwa mpambe...
huyo wa pili mbona karembua sana mambo...mhhhh
Mleta picha una "agenda" gani na hii "gender"?
arifu....mapicha haya yapo online...Hata mimi huwa najiuliza kama wahusika wanaridhia picha zao kuwekwa humu......
Bwana harusi mara nyingi hugundua amechemsha siku ya harusi, kwani hawa wapambe huwa wanakuwaga wakali kuliko mkewe aliyepembeni yake, yaani mguu guu,,**** ****, jicho jicho.
wamependeza na nimependa nguo zao.