nataka kuanzisha kitu kinaitwa maisha foundation,ambapo itakuwa na wanachama 100 tu, watakaochangia laki moja moja kila mwisho wa mwezi na kila mwisho wa mwezi mtu mmoja atachukua milioni kumi hadi wote waishe...waonaje?
nataka kuanzisha kitu kinaitwa maisha foundation,ambapo itakuwa na wanachama 100 tu, watakaochangia laki moja moja kila mwisho wa mwezi na kila mwisho wa mwezi mtu mmoja atachukua milioni kumi hadi wote waishe...waonaje?