jamesbond007
Member
- Jun 27, 2012
- 36
- 8
kwakuwa ccm inawatumia wanavijiji kuwasilisha matakwa yao kwa kuwapa barua zenye kupendekeza serikali mbili wa muundo wa muungano, basi na sisi tusiotaka muungano au wanaotaka muungano wa mkataba basi na wao weaandae barua kwa mujibu wa maoni yao halafu waziwasilishe kwenye tume kama wanavyofanya ccm! kama wao wametuma 100 cc tutume zaidi ya 1000 kila kikao, sasa tuone nani makali na sio kulalamika, hakuna ataewasikiliza wakati huu