Wanzibar ni vigeuvigeu?

kama pombe dhambi mbona wao wanatembea na ngazi usiku kucha kupiga chabo?hakuna mtakatifu dunia hii
 
Siyo wazanzibar waliopokea ni serikali

Wazanzibar hawana muda na TBL kwa imani zao..

The heading is misleading
Na hiyo serikali ni ya watu gani? Ilichaguliwa na nani? Na hizo fedha zitaenda kuwasaidia watu gani? ha! ha! ha! It is a contradiction!!! :mvutaji:
 
Siyo wazanzibar waliopokea ni serikali

Wazanzibar hawana muda na TBL kwa imani zao..

The heading is misleading

Ni kweli kuna shida kwenye heading.Kwa kadri ninavyofahamu serikali ya Z'bar haina shida na uuzaji wa pombe, hata leo ukienda kuomba leseni ya kuuza pombe watakupa. Tatizo lipo kwa baadhi ya wananchi. Japokua serikali inaundwa na wananchi, lakini kwenye issue ya Pombe wanatofautiana.Nilitegemea hao wananchi wanaopinga pombe wajitokeze kuikemea serikali kwa kupokea msaada kutoka TBL. Lakini kwa hali ya sasa hawawezi kwani karibia kila familia inamsiba kule. Labda majonzi yakishapungua watajitokeza.
 
wanzanzibar ni wanafiki sana, mchana wanapinga mambo mengi sana eti ni kinyume na dini lakini usiku maelfu ya watu wanafanya hayo hayo. these people mmmmmmhhh MUNGU awasamehe bure
 
]Ni kweli kuna shida kwenye heading.Kwa kadri ninavyofahamu serikali ya Z'bar haina shida na uuzaji wa pombe, hata leo ukienda kuomba leseni ya kuuza pombe watakupa. Tatizo lipo kwa baadhi ya wananchi. Japokua serikali inaundwa na wananchi, lakini kwenye issue ya Pombe wanatofautiana.Nilitegemea hao wananchi wanaopinga pombe wajitokeze kuikemea serikali kwa kupokea msaada kutoka TBL. Lakini kwa hali ya sasa hawawezi kwani karibia kila familia inamsiba kule. Labda majonzi yakishapungua watajitokeza.[/
QUOTE]
LKN MBONA WALIPINGA KUPOKEA MSAADA WA VODACOM WAKATI WAKIWA NA SHIDA HIYOHIYO...
 
[
na kutoa msaada si promosheni -my views
[/quote] nani kakwambia ...ukitaka kujua ni promo waandishi kibao na huwa wanalipwa habari hizo zinapotoka
 
Back
Top Bottom