Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,062
- 79,089
Last edited by a moderator:
asili kwa maana kizazi chao hakikutoka mbali yaani wana damu ya Bara mile 20 toka Zanzibar na si wale wa Oman mile 2459 toka Zanzibar. waskiize Mh. Ummie Mahfoudha Alley Hamid na Mmewe Mh Judge Mkuu wa Zanzibar wanatoa dondoo kuhusu fitna nachokochoko za "JuneJulys"Wazanzibar asili ndio wepi? Zanzibar ni kisiwa kilichokuwa ukiwa, wote ni wageni toka pande mbalimbali za ulimwengu
Hata Oman ilikuwa tupu, wageni kibao pale.Wazanzibar asili ndio wepi? Zanzibar ni kisiwa kilichokuwa ukiwa, wote ni wageni toka pande mbalimbali za ulimwengu
wewe ni sawa muingereza aliye chukua australia na kupeleka wafungwa huko na kudharau haki za wazawa aborigiensWazanzibar asili ndio wepi? Zanzibar ni kisiwa kilichokuwa ukiwa, wote ni wageni toka pande mbalimbali za ulimwengu
wewe ni sawa muingereza aliye chukua australia na kupeleka wafungwa huko na kudharau haki za wazawa aborigiens