Mnyamwezi2010
New Member
- Nov 1, 2010
- 1
- 0
Jamii forum kinachonishangaza ni kuwa,
Mkoa wa Tabora Haujafanyiwa chochote na Selikari ya CCM,Tabora ya mwaka 47 ni sawa na Tabora ya Leo.barabara mbovu,watu ni maskini sana,nitakupigieni picha za Tabora mjini muone.Lakini kila mwaka CCM inashinda kwa kishindo,Mtawasaidiaje hawa Wanajamii wa Tabora mjini.
Mkoa wa Tabora Haujafanyiwa chochote na Selikari ya CCM,Tabora ya mwaka 47 ni sawa na Tabora ya Leo.barabara mbovu,watu ni maskini sana,nitakupigieni picha za Tabora mjini muone.Lakini kila mwaka CCM inashinda kwa kishindo,Mtawasaidiaje hawa Wanajamii wa Tabora mjini.