Wanyamwezi chagueni mnyamwezi awasemeeni Bungeni

ebaeban

JF-Expert Member
Jan 15, 2012
2,205
2,690
Mnaona wenzenu waliochagua watu wa maana wanavyotamba, wanasema wanasikika, nyie Somali lenu limelowa kama limemwagiwa maji, linaogopa likisema wataliambia lenyewe Somali , sheuri yenu na uvivu wenu wa kupiga dulu za mbali, kahawa zenu mlizohongwa ndo zimewafikisheni hapo mbulukenge nyie.
 
Mnaona wenzenu waliochagua watu wa maana wanavyotamba, wanasema wanasikika, nyie Somali lenu limelowa kama limemwagiwa maji, linaogopa likisema wataliambia lenyewe Somali , sheuri yenu na uvivu wenu wa kupiga dulu za mbali, kahawa zenu mlizohongwa ndo zimewafikisheni hapo mbulukenge nyie.

ujumbe umefika mkuu but hapo kwenye unyamwezi umekosea kidogo kwani badala ya ku inspire ukombozi wa Tabora inakuwa kama una inspire ukabila fulani hivi, but wanyamwezi wa tabora wanatakiwa wamchague kiongozi kutoka chama makini na ambaye ana uzalendo pasipo kujali kabila lake but asiwe al shaba bau kama Rage, na in short wachague chadema 4 tabora liberation.
Solidarity forever.
 
Mnaona wenzenu waliochagua watu wa maana wanavyotamba, wanasema wanasikika, nyie Somali lenu limelowa kama limemwagiwa maji, linaogopa likisema wataliambia lenyewe Somali , sheuri yenu na uvivu wenu wa kupiga dulu za mbali, kahawa zenu mlizohongwa ndo zimewafikisheni hapo mbulukenge nyie.

wachane hao mbulukenge,wana njaa na akili finyu sana,huo ndio uswahili na ndio madhara yake hayo,wanaleta usuahili kwenye mambo ya msingi
 
Mnaona wenzenu waliochagua watu wa maana wanavyotamba, wanasema wanasikika, nyie Somali lenu limelowa kama limemwagiwa maji, linaogopa likisema wataliambia lenyewe Somali , sheuri yenu na uvivu wenu wa kupiga dulu za mbali, kahawa zenu mlizohongwa ndo zimewafikisheni hapo mbulukenge nyie.

Duh sis tunakwenda mbele wengine wanaturudisha zama za mawe.... :A S-confused1::A S-confused1: tutafika kweli?????
 
Mnaona wenzenu waliochagua watu wa maana wanavyotamba, wanasema wanasikika, nyie Somali lenu limelowa kama limemwagiwa maji, linaogopa likisema wataliambia lenyewe Somali , sheuri yenu na uvivu wenu wa kupiga dulu za mbali, kahawa zenu mlizohongwa ndo zimewafikisheni hapo mbulukenge nyie.

wewe mgogo wa Mpwapwa ni bora ya hao wanyamwezi walisimamisha wagombea wa upinzani chaguzi zilizopita na wapinzani walipata kura za kuridhisha, jimbo lako la Mpwapwa halijawahi kusimamisha mgombea wa upinzani tangu mfumo wa vyama vingi ulipoanza. Funga domo lako, Mgogo na maendeleo ni sungura na paka
 
Mie wa mkoa mpya wa Katavi ndo sisemi maana mmmmmmh wa kwangu wanataka kumpiga za uso
 
Wanyamwezi na wagogo wanachekana nini wakati hadi leo wanajua rais ni Nyerere tuu?
 
Mnaona wenzenu waliochagua watu wa maana wanavyotamba, wanasema wanasikika, nyie Somali lenu limelowa kama limemwagiwa maji, linaogopa likisema wataliambia lenyewe Somali , sheuri yenu na uvivu wenu wa kupiga dulu za mbali, kahawa zenu mlizohongwa ndo zimewafikisheni hapo mbulukenge nyie.

naunga mkono hoja 100%
 
Dodoma na Tabora mnahitaji M4C.

Dr. Slaa na Lema watakuja tu. Acheni kukumbatia M**mba
 
Back
Top Bottom