Mnaona wenzenu waliochagua watu wa maana wanavyotamba, wanasema wanasikika, nyie Somali lenu limelowa kama limemwagiwa maji, linaogopa likisema wataliambia lenyewe Somali , sheuri yenu na uvivu wenu wa kupiga dulu za mbali, kahawa zenu mlizohongwa ndo zimewafikisheni hapo mbulukenge nyie.