Wanyama wetu wamerudishwa au hadi bunge lianze

luckman

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,211
371
Sakata la kutoroshwa kwa wanyama kupitia kia limeishia wapi au hadi bunge lianze?walifikaje hadi wanapandishwa kwenye ndege?hivi usalama wa taifa kazi yao nini?polisi kazi yao nini?hiyo ndege haikuonekana kwenye radar ya chnge na mkapa??
 
Wale wengi wao washachinjwa,
Labda kama unataka mifupa!!!
 
Mleta mada utasubiri sana! Hiyo ndio serikali ya Chama Cha Magamba!
 
Back
Top Bottom