Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Hili bado alijaniingia akilini,....yaani hii nchi imejaa ma bogasi serikalini
mpaka watoto wanaenda kuandamamana na kutuonyesha nini cha kufanya
huu ni ujinga ama upotevu wa ufahamu...inashangaza wanyama wa pale mikumi walikufa ovyo gafla leo hii tunapita kwenye matuta...hawa watoto wameuwawa mpaka majuzi wanaamua kuwaonyesha wapuuzi wa lio serikalini nini cha kufanya...je watu kama hao wanaitaji mshahara kweli??kwa nini tusipeleke pesa zao za mishahara kwenye ada za watoto creative kama hawa
JE WANYAMA NI BORA KULIO BINADAMU???
mpaka watoto wanaenda kuandamamana na kutuonyesha nini cha kufanya
huu ni ujinga ama upotevu wa ufahamu...inashangaza wanyama wa pale mikumi walikufa ovyo gafla leo hii tunapita kwenye matuta...hawa watoto wameuwawa mpaka majuzi wanaamua kuwaonyesha wapuuzi wa lio serikalini nini cha kufanya...je watu kama hao wanaitaji mshahara kweli??kwa nini tusipeleke pesa zao za mishahara kwenye ada za watoto creative kama hawa
JE WANYAMA NI BORA KULIO BINADAMU???