Wanyakyusa wenzangu mnanikumbuka!?

Ralphryder

JF-Expert Member
Nov 16, 2011
4,933
1,294
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?
 
Nakukumbuka kwa mbaaali. Wee ndiye ulimwoa yule binti wa Tunduma aitwaye Tusajigwe mtoto wa Mzee Mwambulukutu?
 
ndungu sya ghuso
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?
 
ndio malafyale, nimekukumbuka wewe si ndio mwana gwa tuntufye mwasakafyuka, yule alieiba ile ngambako ya mwakinyuke.
 
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?

Huyo mbona alichunwa ngozi miaka mingi ilopita!
 
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile na nduguye Mwamakimbula Bkunnyasya, nimesoma na Bankalalile Ngupasya ifyaitolo Fikufyuka.
Je,
wanikumbuka?

Matanga gha Nyoko.
 
ndungu sya ghuso
Heh hehhhhhhhh eeeeeee we Bujibuji umenivunja mbavu,mpaka bosi wangu kaniuliza nina nini lol kidogo ningefumwa naangalia JF wakati wa kazi nimecheka kwa sauti kubwa sikutegemea kuona hapo pekundu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom