Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Nimeona kuna groups za Wanyakyusa kwenye Facebook.
Huko wanapeana habari za nafasi za kazi na nafasi za scholarship nje ya nchi.
Hili kwa kweli ni jambo jema, natamani na sisi kabila letu lingekuwa na umoja hkama Wanyakyusa hakika tungekuwa mbali, maana kabila letu ndilo lenye watu wengi zaidi Tanzania.
Huko wanapeana habari za nafasi za kazi na nafasi za scholarship nje ya nchi.
Hili kwa kweli ni jambo jema, natamani na sisi kabila letu lingekuwa na umoja hkama Wanyakyusa hakika tungekuwa mbali, maana kabila letu ndilo lenye watu wengi zaidi Tanzania.