Wanyakyusa sio Mwa, Mwa.. tu!

Gwalugano ni jina la kiume na Lugano ni la kike. Nashangaa siku hizi nimewakuta wanyaki wengi wa kiume wanaitwa lugano nadhani ni ubishoo wa kuliandika na kutamka.

Nadeclare insterest kuwa nawafahamu wanyaki kinoma kwani nina ndugu mnyaki. ingawa mie natokea hukooo kaskazi uwekeni

Alaa, kweli msanii? maana kina Lugano wanaume ni wengi mno tena wengiune ni wazee!!

Ile nimepewa majina mengine, kama;

Anyimile
Amyandile
Atusubisye
Atunanangisye
Atuganile

Huyu alienipa haya anaitwa Anyosisye Mwakijambile! Sijui hili la pili kweli nilake???
 
Jamani kwenye Mwa, Mwa, ndiyo balaa!
Mwang'ombe
Mwambusi
Mwambene
Mwangulube
Mwapululuka
Mwakisisile!

Mh!
 
Alaa, kweli msanii? maana kina Lugano wanaume ni wengi mno tena wengiune ni wazee!!

Ile nimepewa majina mengine, kama;

Anyimile
Amyandile
Atusubisye
Atunanangisye
Atuganile

Huyu alienipa haya anaitwa Anyosisye Mwakijambile! Sijui hili la pili kweli nilake???

Mwakapande
 
Jina ni Nomino ya jambo ama kitu chochote ambacho chaweza kuwa hai ama si hai (Living organism or non - living). Hata hivyo kila kabila linatumia herufi hizi ili mradi linaleta maana kwao kutambulisha kitu au mtu fulani, mfano unaposema research yako imebaini majina yanayoanza na herufi 'L yanaishia na O' kwa wanyakusa, hata makabila mengine mbona wanatumia herufi hizo kwa majina ya watu ama vitu? kulikoni wanyakyusa tu wanatajwa hapa? Mfano wasukuma wanalo jina '********' jina hili linaanza na herufi 'L na kuishia na O' likimaanisha 'Tigo', na mengine kama 'LUBOLO' hilo sijui maana yake lakini ni jina. Turudi mashariki ya mbali jirani na uchina, Ni Wajapan hawa...wao unaweza hata usitamke majina yao mbele ya mkwe wako maana laweza kuwa tusi kwetu nadhani hii ndo mada ya kujadili hasa badala ya Wanyakyusa, Mfano ninao rafiki Japanese wenye majina yafuatayo: KUMAMOTO YACHIRO, KANYAMAV KAYASHIKA, ****-UHARO YANAMOTO n.k...LABDA WANYAKYUSA IMEKUWA HOJA KWA SABABU YA NETWORK YAO NDANI NA NJE YA NCHI HUSUSAN MAREKANI KASKAZ ETC, ULI....Mimi ni Manyema kutoka Kigoma si Mnyakyusa My real name is KARUMANZIRA
 
Jina ni Nomino ya jambo ama kitu chochote ambacho chaweza kuwa hai ama si hai (Living organism or non - living). Hata hivyo kila kabila linatumia herufi hizi ili mradi linaleta maana kwao kutambulisha kitu au mtu fulani, mfano unaposema research yako imebaini majina yanayoanza na herufi 'L yanaishia na O' kwa wanyakusa, hata makabila mengine mbona wanatumia herufi hizo kwa majina ya watu ama vitu? kulikoni wanyakyusa tu wanatajwa hapa? Mfano wasukuma wanalo jina '********' jina hili linaanza na herufi 'L na kuishia na O' likimaanisha 'Tigo', na mengine kama 'LUBOLO' hilo sijui maana yake lakini ni jina. Turudi mashariki ya mbali jirani na uchina, Ni Wajapan hawa...wao unaweza hata usitamke majina yao mbele ya mkwe wako maana laweza kuwa tusi kwetu nadhani hii ndo mada ya kujadili hasa badala ya Wanyakyusa, Mfano ninao rafiki Japanese wenye majina yafuatayo: KUMAMOTO YACHIRO, KANYAMAV KAYASHIKA, ****-UHARO YANAMOTO n.k...LABDA WANYAKYUSA IMEKUWA HOJA KWA SABABU YA NETWORK YAO NDANI NA NJE YA NCHI HUSUSAN MAREKANI KASKAZ ETC, ULI....Mimi ni Manyema kutoka Kigoma si Mnyakyusa My real name is KARUMANZIRA

...anzisha thread yako na majina uyajuayo........

.....otherwise "Mzizi wa Mbuyu" (duh sijui ukoje)....hebu tupe kinyaki chake.........
 
Back
Top Bottom