KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Ugonile!..............Najua umenisahau.Naitwa Andendekisye Lupakisyo Mwamasika mpwa wake na Afundile Ambakise Mwakibete ni yule binamu yake na Asangalwisye Simalike Mwalusako wa IPINDA Baba yangu ni rafiki mkubwa wa mzee Hobokela Bukenja Mwakalindile nduguye Bikunyasya wa Bujonde pia nimesoma na Ambilikile Ngupasya Ifyaitolo mdogo wake na Nsajigwa Mwaipopo,shemeji yake na Tukupasya Mwaisendele wa kyela,ninafanya kazi Kyela na Gwamaka Mwaipaja shemeji yake na Tuntufye Lutengano Mwakapalila,je umenikumbuka?