aseenga
Senior Member
- Jul 13, 2011
- 106
- 86
WADAU NI HIVI, sisi ambao tulipata vyuo mwaka jan tukaambiwa tuende vyuoni tutapatiwa mkopo huko ni jambo la kusikitisha kwamba tulidanganywa lakini bado kama haitoshi jamaa wakatuchukulia tena elfu tano zetu za kuapeal pasipo majibu yoyote. sasa hawa jamaa wanazidi kutuchanganya mwaka huu wanataka tulipe tena elfu 30000 kama vile ndo tunapply mara ya kwanza, halafu walivyo wajanja kwenye brochure zao wameandika kwamba tunatakiwa tuaplly bure. bado nina mengi ya kusema lakini leo inaTOSHA