Mi sijui kanipendea nini nikiendeleze. Ngoja nimuulize
Nipo tayari kufanya sacrifice yoyote kwa ajili ya furaha ya mpenzi wangu.., ila on the same token sipo tayari kumfanya mpenzi wangu aache chochote ambacho najua kinampa furaha... (na issue ya kukatazana kufanya hiki au kile naona ni some sort of control ambayo inaweza kuleta ugomvi.., anyway mimi mwenyewe taacha vile vitu ambavyo najua ni karaha kwa mwenzangu bila hata kukatazwa...)@sun wu, upo tayari kumpoteza mpenzi wako kwa sababu amekukataza kufanya jambo ambalo linawezekanika kuacha?
Mfano, kama unapenda kuchati na marafiki tangu utotoni ina maana huwezi kuacha kisa tu ulikuwa wafanya hivyo tangu utoto?
mimi dume lakini eti nina macho mazuri,najitaidi kukodoa nisionekane hivo.lakini wapi demu unisifia macho si uboya huu.
ha ha haa mkuu sikujua kama wanaume huwa wanasifiwa macho mazuri anyway in case ya mwanaume sidhani kama kurembua ni jambo la busara am sure kuna qualities kibao mkuu, hekima, busara, usikivu, uvimulivu n.k. uzuri nyingine tunaweza kujifunza and as time goes on it becomes our second naturemimi dume lakini eti nina macho mazuri,najitaidi kukodoa nisionekane hivo.lakini wapi demu unisifia macho si uboya huu.
What's so hard about it.., kutumia kile ulichonacho kwa faida yako na ya mwenza wako.., after all if you have it it comes as second nature.., si unaona hata nyie kina dada kama kuna some part of your body unaipenda sana na inavutia unakuta watu wanaionyesha (its like if you have good feet kwanini uvifunike na viatu.., just wear open shoes...) Flaunt what you have..,Sun nimependa ujumbe wako..... If only it was that simple.....
What's so hard about it.., kutumia kile ulichonacho kwa faida yako na ya mwenza wako.., after all if you have it it comes as second nature.., si unaona hata nyie kina dada kama kuna some part of your body unaipenda sana na inavutia unakuta watu wanaionyesha (its like if you have good feet kwanini uvifunike na viatu.., just wear open shoes...) Flaunt what you have..,
kama avatar ya YM???
Hapa unaeleza as if mahusiano na mapenzi ni kama vile 1 + 1 = 2. Kila mwanadamu ana tabia zake; na pale unapovutiwa na mtu ni lazima kuna mambo yatakuvutia kwake.... Ingawa kuna yale ambayo aweza kua nayo usiyapende/yasikupendeze. Na ndio maana kuna kitu kinaitwa compromise.... Huwezi sababu tu wapenda vuta sigara basi uvute sigara hata chumbani kwa mpenzi wako na hali wajua hapendi ule moshi na wamletea side effects kama head ache. Asipolalama.... it is Ok (maana you can not guess) Ila inapotokea huyo mpenzi wako kagusia (hata kama sio kulalamika) kua hicho kitu cha muumiza; You compromise.... you smoke, but not necessarily in the same room.
Niece mzima dear? Nimekumiss.... (nikupe umbea? Alisema anapenda the whole of you...lol)
Exactly compromise is a must na kama umenisoma nimesema kwamba I will never do anything to hurt the one I love au kumyima furaha...
Ila my point is use what you have.... use your good qualities., sasa kama una sauti nzuri kama wimbo, kwanini usimsemeshe mwenza wako na kumbembeleza.., kama your best quality ni kwenye macho muangalia kwa upendo.., kama ni mcheshi ongea nae na mcheke kwa furaha.., sasa hayo mengine ni negatives (ambayo unakuta couples wakiwa wote ndio wanayatumia..., mfano kulalamika.., kutukanana, na kununiana) all these are bad qualities na wanasahau zile tabasamu.
Ila nikasema don't compromise on what might change who you are.., Never change the real Ashadii for someone else, or maybe kuacha your dreams just to please someone or maybe your career.., because you will end up hating yourself and him/her for it
mi mzima aunt, nimekumiss sana..
Ahsante kwa umbea, mi nimemuuliza anadai hata hajielewi ananipendea nini ila inadai kafa kaoza. Lol!
Yes am a man Ashadii.., mhh kuandika hivi sio kwamba imenitokea ila I was just thinking.., why do we fall in love.., and if it was all about beauty and people are saying the likes of J. Lo and Halle Berry are the most beautiful why don't I fall for them.., why don't they do anything for me..., that's what got me thinking kwamba love is a package..., mtu anakupenda kutokana na wewe ulivyo, and there are things which only Ashadii can provide (good things) kwahio I thought why not use our good qualities.., kama nilikupenda upole wako basi usijebadilika kuwa mgomvi.., so instead of trying to be someone else (kama mke wa jirani au kuiga tabia za fulani maybe we can work out on bettering ourselves). Flaunt what we have smile and enjoy life.. and if someone really cares maybe he can join on our happiness.., hivi haujaona watu wanampendea mtu sababu mapepe au sababu amecharuka.. (huoni kutaka kumbadilisha huyu mapepe kuwa kama mtawa ni kama kumkata mabawa ndege)Taking for granted you are a Man.... (If I am wrong sorry) Naamini kua hadi umeandika hii kitu hapa haija evolve from nowhere or out of thought.... Naamini kua maybe umeona mtu wako yupo hivo or mtu wa karibu unaemfahamu yupo hivo.
Ila Sun naomba nijibu genuinely.... Ni wanaume wangapi huweza wambia wapenzi wao directly kitu kama hiki ambacho you have posted? Labda unisaidie wewe.... Kwamba ni woga wa lolote kama kuogopa kumuumiza? Ama kwamba unakua you don't give a damn?
Miss you more my fav niece.... Unaonaje weekend hii ukaja na Mwali na spend the weekend home? Niatamwambia ankal wenu atafurahi saana.
Kuhusu yeye kutojitambua..... I know dear.... Na ni dhahiri kwa kila mtu kafa kaoza! lol. Una bahati sana kupata mtu wa namna hio dear.... Usimuachie. Best of Luck.....
Yes am a man Ashadii.., mhh kuandika hivi sio kwamba imenitokea ila I was just thinking.., why do we fall in love.., and if it was all about beauty and people are saying the likes of J. Lo and Halle Berry are the most beautiful why don't I fall for them.., why don't they do anything for me..., that's what got me thinking kwamba love is a package..., mtu anakupenda kutokana na wewe ulivyo, and there are things which only Ashadii can provide (good things) kwahio I thought why not use our good qualities.., kama nilikupenda upole wako basi usijebadilika kuwa mgomvi.., so instead of trying to be someone else (kama mke wa jirani au kuiga tabia za fulani maybe we can work out on bettering ourselves). Flaunt what we have smile and enjoy life.. and if someone really cares maybe he can join on our happiness.., hivi haujaona watu wanampendea mtu sababu mapepe au sababu amecharuka.. (huoni kutaka kumbadilisha huyu mapepe kuwa kama mtawa ni kama kumkata mabawa ndege)
Men we don't normally like talking about ourselves or showing any weaknesses, we might like talking about issues lakini not showing or talking about our emotions (different from women) lakini am sure kama a partner ukiwa more than just a lover but a friend as well maybe a man can really let you inside even though I think he would prefer talking about the new series "Person of Interest" or "Fringe." or how "Lost" lost the plot..., or how Arsenal deserves to win the League
cousin mwali yupo busy kuna mambo anafatilia. Nitajitahidi nije ingawa na mi nimebanwa. Huyo mkweo simuachi, kadri siku zinavyoenda ndio nazidi kuoza na mimi! Lol. Nikija nitakupa umbea zaidi.
You know people don't just change for better or worse kuna sababu zinazosababisha hivyo.., na hapa sijaongelea on a female au male perspective lakini on an individual perspective.., lets just say mtu alikuwa mcheshi na mchangamfu (lakini kutokana na partner wake kutokumpenda au mauzi yake) inapelekea anakuwa mtu wa huzuni na depressed..(now that's where my points come to play.., don't ever let anything change who you are for worse.., kama hakupendi au anakutesa shida zake jitahidi zisireflect kukubadilisha wewe. If you had a body to die for na ulikuwa unajipenda kujiweka smart, maudhi au kuwa mama wa nyumbani kusibadilishe hayo...I am really interested na perspective zako thou typically male (kant complain). Hapo nime bold.... For instance it has happened to you... Do you tell her? And if you do.... Do you think yeye ni mtoto mdogo na hana ufikiri akachange tu out of impulse? Kwamba mawazo yako ndio absolute yake mapungufu as in the reasons of changing? Je unadiriki kujitazama in the mirror kujua wewe umechangia vipi yeye kuchange? Remember.... She sincerely Loves you.... Unalitambua hilo yet she has changed; na Ironically on a woman's perspective I bet she thinks you have changed too....
Remember hapa siongolei anayofanya yeye yanayoniuzi mimi yaani kumwambia aache kuyafanya.., bali naongelea yeye kuacha ule uhalisia wake na mambo yake mazuri (yaani Ashadii wa zamani) sababu maybe ya matatizo yangu.., of course siwezi kumwambia maybe because am the problem, am the cause of her unhappiness, am the cause she is moody.., Ila point yangu ni kwamba if everyone aki-fight his corner kutokumuuzi mwenza mwake maybe migongano itapungua. Na kama mimi siwezi kubadilika na ninaendelea na mauzi.., wewe kubadilika na kuwa moody hakusaidii and maybe wewe ukiendelea kuwa mcheshi mwisho wa siku tajiona mjinga and I will grow up.., because I will be fighting with someone who is not fighting but just loving.. (at the same time you will remain to be yourself)Hapa ndio narudi pale pale.... Communication barrier.... If you don't talk how will she know? Zaidi atabaki tu ana guess labda hiki, labda kile.... How will she know? For in the long run waweza kuta hata akawa desperate hadi ikawa kero (tokana na woga wake tu kua she is going to lose him kwa kitu anaweza rekebisha).
Napenda you postulations on the matter.... ni Almost "Perfect" Ila I repeat..... It is not that simple kama unavodhania (And I know you know exactly what I mean). Na I hope haya ambayo waongea hapa jamvini ndio hasa the way wayatenda. Maana guys mara nyingi are really good at explaining indirectly or at his Lady's back rather than the front...
Wanakua na maelezo mazuri ambayo Mpenziwe angesikia ingekua of Great help; ila mbele yake ajifanya "guys can not explain"
Na that is why wanaojikuta katika hio situation it is so hard on/for them. Cha ajabu pande zoote zaumia; Ila hapo ndio swali linabaki... Is it worth it? Unajuaje kua you are not wasting time na kwamba you should move on....