sun wu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 2,020
- 1,418
Wote tunajua kwamba kila mtu ana his/her strong points.., hivyo basi ili tupendeke (attract our partners) inabidi kutumia asset zetu
.
Wewe kama ni mcheshi, cheka na chekesha, sio kuanza kununa. Wewe kama ni mtu wa maringo na kudeka na ulipendewa hilo basi endelea kudeka. Kama una tabasamu la nguvu, litumie macho ya kuvutia rembua, sauti ya mvuto, ongea. Wewe kama ni mpole kuwa mpole, sio kuanza kuleta hasira zisizo na maana. ghafla.
Kama una busara tumia busara zako, na kama alikupenda sababu ya uchapakazi na being a career woman usibadilike na kuwa dependent.
All in all we are who we are and no one can be a better you , be yourself and if someone loves you for who you are its better and easier (because it will be coming out naturally). Never pretend to be someone else.
Wewe kama ni mcheshi, cheka na chekesha, sio kuanza kununa. Wewe kama ni mtu wa maringo na kudeka na ulipendewa hilo basi endelea kudeka. Kama una tabasamu la nguvu, litumie macho ya kuvutia rembua, sauti ya mvuto, ongea. Wewe kama ni mpole kuwa mpole, sio kuanza kuleta hasira zisizo na maana. ghafla.
Kama una busara tumia busara zako, na kama alikupenda sababu ya uchapakazi na being a career woman usibadilike na kuwa dependent.
All in all we are who we are and no one can be a better you , be yourself and if someone loves you for who you are its better and easier (because it will be coming out naturally). Never pretend to be someone else.