Hapana mkuu mimi sitokei huko,natokea ktk hiyo avatar yangu unayoiona@washawasha,haya bwana mpe salamu ndugu komba ,kumbe na weye ni wa kunyumba...halafu nadhani humu ktk jf kuna wangoni ngoja tuunde chama cha wangoni?
Uwezi kutaja Lizaboni pasipo kuitaja LondoniJe, bwana wewe. Umesahau ndg zetu walioko njalamatata, njomlole, litola, ligela, namabengo, namtumbo,likuyu,mbitimbi, lizabon. We kutaja matogolo kwa mtutula kumsahau jirani yao kindole siyo kunoga. Bwana wewe kumtaja kombaaa kunikumbusha litembo, mbambabay, ndengere,chinula pale tunakula mchukwa je!
nilitaka kuchangia ila kuna huyu mwenye avatar ya chama cha majambazi hapo ameshanikata stimu mtanisamehe ninatapika naweza kuitapikia kibodi nitachangia kesho nikishaisahau hiyo bendera.
Yaani umenikumbusha mbali sana! Hasa ile hospitali niliyozaliwa. kwa jina inaitwa PERAMIO hospitaloyaaaaa ngoni tribe is a tribe of war! majina yetu matamu sana ktk masikio ya watu. si ajabu kuwa na majina km haya hata ulaya wapo akina john deere, karibuni sana songea, penye pale ukifika tu utakaribishwa na mr mbuzi na mjomba ake bwana ndomba, watakupeleka nyumbani kwao ukasalimie ukoo wa kina komba ambaye ameoa kwa kina nguruwe. km hamtakutana nao basi ntampigia simu mbawala anayeendesha tax ya mzee nyoka awapeleke kwa soko mkapate msosi wakati akina ngonyani wakiwatafutia sehemu ya kulala. mtapaona bombambili kwa kina fusi mtelemke mpaka mahenge kwa kina nyoni mtafika matogoro kwa kina mtutuma pale karibu makambi kwa kina gama na kimolo wapo akina luoga, nkondola chale na wengineo weeeeengi
Duh! Ni Peramiho...Yaani umenikumbusha mbali sana! Hasa ile hospitali niliyozaliwa. kwa jina inaitwa PERAMIO hospital
Duh,chimunguru nimekukubali....halafu naskia nyie mmetokea bondeni kwa jacob zuma,vp c mrudi kwenu au vje?