Hivi ushawahi kujiuliza bila hoja ya mafisadi chadema leo ingekuwa wapi? Maana wao kila wakipanda majukwaani ni kuropoka tu mafisadi,mafisadi,mafisadi!! Kila siku ni list mpya lakini nashangaa mwenyekiti wao hawamweki kwenye list!! Siku watanzania wakiichoka hii filamu ya kibongo ya mafisadi ndio utakuwa mwisho wao hawa jamaa,kwani hawana ujanja wowote zaidi ya kutumia migongo ya akina lowasa kutokea!! Kama vipi chadema waigeni wapinzani wa uganda wanavyofanya,siyo kwamba uganda hakuna list ya mafisadi bali jamaa wanakomaa na matatizo yanawagusa jamii! Bila mafisadi chadema wangekuwa mabubu!!!!CHEAP POPULARITY! Hongereni mafisadi kwa kumtoa slaa,ful nitoke vipi