Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Napenda kumuunga mikono miwili M. M. Mwanakijiji katika makala yake hapo juu kwenye gazeti la MwanaHALISI la june 22-23, 2011.
Ukweli Baba wa taifa marehemu JULIUS K. NYERERE hana mfano kwa ubinadamu na upendo aliokuwa nao kwa watu. Aliacha misingi imara ya inchi yetu kujitegemea kwa kila hali na hasa hasa kumjali mnyonge.
EWE MOLA MLAZE MAHALA PEMA PEPONI.
AMINA.
Ukweli Baba wa taifa marehemu JULIUS K. NYERERE hana mfano kwa ubinadamu na upendo aliokuwa nao kwa watu. Aliacha misingi imara ya inchi yetu kujitegemea kwa kila hali na hasa hasa kumjali mnyonge.
EWE MOLA MLAZE MAHALA PEMA PEPONI.
AMINA.