Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
Huu ndio ubunifu !
Single and available...siyo?
Huu ndio ubunifu !
Single and available...siyo?
wewe ushindwe na ulegee
labda ni kweli mama alikua anafanya hayo mambo lakini mimi hayo sijui...
lakini usema ukweli wanapendana sana ndo maana hawataki kuacha
na wanaipenda familia yao sana..
kwa hiyo huo uamuzi wa open relationship ndio waliona ni best option kwao...
Skuliment Heri ya 2011
Hiyo inaitwa SAA au nyingine Single and Searching SAS!
mi like the word SAS very much..
i think is unique hahahahhaha lol
ukizimaltiply hiyo blue kwa hiyo red....tunarudi kulekule kwa baba enock...open-closed relationship.
Babu anaapa HUWEZI MPENDA MMKEO/MMEO kwa maana halisi ya KUPENDA halafu ukaingia mkataba kama wa IPTL wa OPEN RELATIONSHIP..... Naapa HAKYA MUNGU VILE.
Ngoja babu arudi kitandani.
Makabila mengi ya wafugaji hapa Tanzania yana ndoa za namna hiyo, japo jina linaweza lisiwe la namana hiyo.Sijui kwa miaka ya karibuni hali ikoje, lakini miaka ya nyuma jambo hili la kuwa na mahusiano nje ya ndoa na mwenzi wako akajua kwa mila na desturi za makabila kadhaa ya wafugaji ilikuwa kawaida.
Sifahamu wanadoa hao watokana na makabila ya wafungaji au la!
hahahahah lol haya babu usiku mwema usisahau kutoa meno
yake kwenye glass yenye maji ile kesho yawe masafi...
nway hawa watu wanadai na wanasema wanapendana...
lakini watu ka mimi na wewe hatutaelewa na hatutakubaliana nao ...
nway gdnite babu sweet dreams..
aaaahhhh babu mali yangu ni yako ..
you go ahead and do whatever u you want hahahah lol
Hommie naomba hii kesi ya skuli meti mimi niwe wakili lazima tumpe death penalt huyu!Hahaha...halafu skulimeti unajua una kesi ya kujibu?
Amani ya Bwana na Itawale nyumba yako 2011.
ai babu
mmmmhhh mbona niliku nunulia ya bandia ...
kwa sababu ulisema unataka kutabasamu wakati una kagua hahhahhaahah lol
au umeyaacha wapi tena babu....
[/B][/COLOR][/SIZE] hahahahahhahahahahhah lol
kwakweli babu umenichekesha sina hamu ...aaee
wewe sikuwezi