Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Solution nzuri kwo lakini sio kwa WATOTO na JAMII inayowazunguka!!!
NDOA ni TAMU mnapokuwa na AMAN,UPENDO na UTULIVU
lazima ipo siku hivi vi2 vitakosekana in OPEN relationshp!!
NDOA ni TAMU mnapokuwa na AMAN,UPENDO na UTULIVU
lazima ipo siku hivi vi2 vitakosekana in OPEN relationshp!!
haya sawa kabisa....
wamesameheana lakini wameongea na wemelewana kwa roho nzuri kabisa
kwamba hii ndo solution nzuri.....
kwa ndoa yao.....