NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Amepatwa na ugonjwa unaoitwa PANGUSA;-nia aina ya ugonjwa unaopata wanaume sehemu za siri za mbele unakuwa kama umepata mmba kali ukifuta inazidi kulika kama kifuto cha pencil mwishowe inakuwa ndogo na dhaifu.
Ameupata kwa kutumia mataulo ya gym hapa dsm. Amenihakikishia kuwa hajatoka nje ya ndoa yake na anampenda sana mke wake. Ila dr. wa hospitali moja kubwa ya binafsi amemwambia lazma aende na mke wake ili watibiwe Je? mke wake atamwamini? na aliwahi kumkanya kuhusu kwenda gym akihofia ndio njia ya kutoka nje ya ndoa.
Anaomba ushauri wenu na yuko hapa anasoma posti zenu tafadhali msaidieni rafiki yetu huyu.
Ameupata kwa kutumia mataulo ya gym hapa dsm. Amenihakikishia kuwa hajatoka nje ya ndoa yake na anampenda sana mke wake. Ila dr. wa hospitali moja kubwa ya binafsi amemwambia lazma aende na mke wake ili watibiwe Je? mke wake atamwamini? na aliwahi kumkanya kuhusu kwenda gym akihofia ndio njia ya kutoka nje ya ndoa.
Anaomba ushauri wenu na yuko hapa anasoma posti zenu tafadhali msaidieni rafiki yetu huyu.