Wandugu naombeni ushauri wenu:

Asante sana AshsDii!!!!!Juhudi sio finyu ila tatizo linakuja kwake,hataki tuonane,ukimpigia simu kuipokea ni shughuli pevu,sasa unafikiria hapa mambo yamekaaje?

red:sikuangushi mama:

Mfuate aliko... Mapenzi sio wakati wa raha tu... Mapenzi hukomaa zaidi pale mnaposhinda mapito kama haya... Mie siamini kua umetupia energy yako mpaka mwisho... after all it is only two weeks...
 
Mfuate aliko... Mapenzi sio wakati wa raha tu... Mapenzi hukomaa zaidi pale mnaposhinda mapito kama haya... Mie siamini kua umetupia energy yako mpaka mwisho... after all it is only two weeks...

Tatizo ataki tuonane kwa sasa,nakumbuka jumapili nilimuona kwa mbali tu nikiwa natoka kwa kanisa misa ya pili naye anaingia ya tatu,atukusalimiana.
 
Nakupa siri moja ambayo nimakosa makubwa saana nafanya... but hata hivo kwa kukusaidia.. Sie wanawake hutumia saana mioyo yetu katika maamuzi kama hayo, (hivyo saa ingine hutuchanganya mpaka unapoteza track ni nini kimekuchanganya) ni tofauti na kama uki analyse kwa kutumia vigezo ili upate jibu; Na huyo dada jinsi ninavoona - ni kua hata yeye haelewi ni nini/nani anataka... Kama wampenda na she is worth it naamini kabisa ukigangamaa kiume - Ally hapati kitu hapo; Ukizingatia yupo Mwanza na wewe upo nae dada karibu... Hivo una Great advantage ya kumuweka sawa na abaki na wewe..

Lakini siku akikutana na Ally atakamuliwa tu, wanawake hovyooo sana
 
Mi nampenda lakini katika maongezi yake inaonekana yupo kwa ally kwasababu anasema alikuwa naye kwa muda mrefu sana kabla ya kukutana na mimi,ila kitu ambacho kinampa wasiwasi kwa nini akubali kubadili dini leo hii?

mkuu hata ukimchukua huyo awe mkeo kuna uwezekano mmkubwa ukaja kuibiwa tu
kkifupi ni kwamba angalia usawa mwngine binti hakupendi kivile..
 
Nimekusoma mkuu!pamoja sana.

Ni hivi, kwa kuangalia ushauriw a wengi..hasa wanaume hapa....wote unakushauri kwua ni RISK kubwa sana kusema umwoe huyo binti kwa dalili alizoonyesha

Love wangu AshaDii hapa kakwambia kuwa kwa wanawake wanaweza kuwa wanachanganyikiwa sometimes, hawajui wanataka nini au wanamtaka nani....kwa mazingira hayo hakuna guarantee kuwa hata ukiongeza efforts, utampata kwa moyo mweupe bila kuwa na ile kitu kuwa anamfikiria Ally wake kila mara!

sasa basi, mtafute one more time, mwambie akupe msimamo (hii ya kusubiri sana hii sio njema hata kidogo) mwambia unahitaji jibu lakeili uweze kupanga mipango yako mapema.

Kupenda kupo, ila kuna kupenda TENA. Hakuna kupenda mara moja...you have to move one...manake ukikosea ukaja tena hapa kutaka ushauri kuwa 'una ushahidi wa mazingira' kuwa mkeo anacheat na Ally, hiyo itakuwa too far na itakuwa kosa lako mkuu

NOW: Move on, mwite, ongea naye, weka msimamo, chapa mwendo.
 
Ni hivi, kwa kuangalia ushauriw a wengi..hasa wanaume hapa....wote unakushauri kwua ni RISK kubwa sana kusema umwoe huyo binti kwa dalili alizoonyesha

Love wangu AshaDii hapa kakwambia kuwa kwa wanawake wanaweza kuwa wanachanganyikiwa sometimes, hawajui wanataka nini au wanamtaka nani....kwa mazingira hayo hakuna guarantee kuwa hata ukiongeza efforts, utampata kwa moyo mweupe bila kuwa na ile kitu kuwa anamfikiria Ally wake kila mara!

sasa basi, mtafute one more time, mwambie akupe msimamo (hii ya kusubiri sana hii sio njema hata kidogo) mwambia unahitaji jibu lakeili uweze kupanga mipango yako mapema.

Kupenda kupo, ila kuna kupenda TENA. Hakuna kupenda mara moja...you have to move one...manake ukikosea ukaja tena hapa kutaka ushauri kuwa 'una ushahidi wa mazingira' kuwa mkeo anacheat na Ally, hiyo itakuwa too far na itakuwa kosa lako mkuu

NOW: Move on, mwite, ongea naye, weka msimamo, chapa mwendo.



Inapendeza sana kwa ushauri mzuri,last week nilifanya kama ulivyo shauri hapo,lakini akaniambia nizidi kumpa muda maana kwa sasa hili swala amerikabidhi kwa mungu,hapo unasemaje?
 
Achana na binti huyo kwanza hana mapenzi ya kweli, kwanza kwanini aachane na ally kisa dini? Penzi la kweli halichagui dini,kabila,rangi,umri wala kiwango cha elimu mtu akupende kama ulivyo nawe umpende kama alivyo.Shika ustaarab wako kaka hapa huna chako.
 
Inapendeza sana kwa ushauri mzuri,last week nilifanya kama ulivyo shauri hapo,lakini akaniambia nizidi kumpa muda maana kwa sasa hili swala amerikabidhi kwa mungu,hapo unasemaje?

Mkuu kuwa makini, hiyo ni gia tu ya kuvuta vuta muda anasome upepo unakwendaje.....vipi na wewe umelikabidhi kwa Mungu? huo ni uamuzi wa watu wawili, sio wa upande mmoja!
 
Achana na binti huyo kwanza hana mapenzi ya kweli, kwanza kwanini aachane na ally kisa dini? Penzi la kweli halichagui dini,kabila,rangi,umri wala kiwango cha elimu mtu akupende kama ulivyo nawe umpende kama alivyo.Shika ustaarab wako kaka hapa huna chako.

Umeonaaa eeh BB!
 
Mkuu kuwa makini, hiyo ni gia tu ya kuvuta vuta muda anasome upepo unakwendaje.....vipi na wewe umelikabidhi kwa Mungu? huo ni uamuzi wa watu wawili, sio wa upande mmoja!

Mi nilishakabidhi kwa mungu muda mrefu sana tokea tulivyo anzauhusiano tu.
 
Pole sana mkubwa! Ushauri wangu endelea kuvuta subra mpaka mrembo atakapo kuwa tayari kuzungumza na wewe! Kuwa tayari kwa lolote afta ol hamjazama sana, miezi mi3 si mingi u can do anything!
 
Pole sana mkubwa! Ushauri wangu endelea kuvuta subra mpaka mrembo atakapo kuwa tayari kuzungumza na wewe! Kuwa tayari kwa lolote afta ol hamjazama sana, miezi mi3 si mingi u can do anything!

Ni kweli miezi 3 sio mingi ndio maana binti kichwa kinamuuma sana.
 
Ni hivi, kwa kuangalia ushauriw a wengi..hasa wanaume hapa....wote unakushauri kwua ni RISK kubwa sana kusema umwoe huyo binti kwa dalili alizoonyesha

Love wangu AshaDii hapa kakwambia kuwa kwa wanawake wanaweza kuwa wanachanganyikiwa sometimes, hawajui wanataka nini au wanamtaka nani....kwa mazingira hayo hakuna guarantee kuwa hata ukiongeza efforts, utampata kwa moyo mweupe bila kuwa na ile kitu kuwa anamfikiria Ally wake kila mara!

sasa basi, mtafute one more time, mwambie akupe msimamo (hii ya kusubiri sana hii sio njema hata kidogo) mwambia unahitaji jibu lakeili uweze kupanga mipango yako mapema.

Kupenda kupo, ila kuna kupenda TENA. Hakuna kupenda mara moja...you have to move one...manake ukikosea ukaja tena hapa kutaka ushauri kuwa 'una ushahidi wa mazingira' kuwa mkeo anacheat na Ally, hiyo itakuwa too far na itakuwa kosa lako mkuu

NOW: Move on, mwite, ongea naye, weka msimamo, chapa mwendo.



@ Sulphur.... Nimeshindwa jibu la zaidi katika hio quote ya Mwisho sababu kila ushauri unaopewa unadai umeufanyia kazi... Kwa njinsi Mpenzi Kaizer alivooleza katika hii post.... Naamini ni ushauri mzuri kufuata....
 
@ Sulphur.... Nimeshindwa jibu la zaidi katika hio quote ya Mwisho sababu kila ushauri unaopewa unadai umeufanyia kazi... Kwa njinsi Mpenzi Kaizer alivooleza katika hii post.... Naamini ni ushauri mzuri kufuata....

Ni kweli Ashadii ushauri mwingi tayari nimeufanyia kazi nacho kifanya sasa hivi nikukaa kimya tu.
 
Ndugu zetu wakoje tena burner?
hao bwana duuuuhh hujui hata usemeje. mana kila mmoja ikibidi aseme maudhi ya mwenzi wake wa kike hapatatosha hapa.
stori: jamaa mmoja alipotelewa na mke wake, akatangaza ktk vyombo vya habari. siku ya pili asubuhi anaamka akakuta vijana kwa wazee kama mia hivi mlangoni kwake wanasubiri atoke. mzee alipigwa na butwaa akawauliza wale wageni kulikoni? kwa wakati mmoja wote wakauliza swali moja linalofanana ie. wewe ndiye uliyepotelewa na mkeo.. mzee akajibu ndiyo akitumai kuwa mke wake ameonekana maeneo. kwa pamoja wale wageni wote mia wakadakiza. "tafadhali njoo uchukue wa kwangu".... hivyo ndivyo habari ilivyokuwa wote wakimaanisha kwamba wamechoshwa na maudhi ya wenzi wao wa kike. Hii inatufundisha kwamba,,, mpenzi wako wa kike anapokutoroka kwa sababu moja ama nyengine unapaswa kushukuru na kuanchana naye coz umeshapunguza mzigo.
 
Back
Top Bottom