Wanaweza???

Avatar Myg

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
675
118
Nililiangalia baraza kivuli la mawaziri lililoundwa na upinzani bungeni.. nikaassume endapo kama Dr. Slaa angepita hili ndilo lingekua baraza lake la mawaziri..

Msemaji ofisi ya Raisi: Freeman Mbowe,
Msaidizi: Silinde David
Uwekezaji na Uwezeshaji: Matiko
Ofisi ya Waziri Mkuu: Vicent Kiboko
Ofisi ya Raisi: Said
Ofisi ya Raisi & Utawala Bora: Mch Nakse wa Karatu
Ofisi ya Makamu wa Raisi: Gekulu
Ofisi ya Raisi & Mazingira: Leticia Nyerere
OFisi ya Fedha: Zitto Kabwe Msaidizi: Christina Lissu
Mambo ya Ndani: Lema
Katiba ya Sheria: Tindu Lissu
Kimataifa: Wenje
Jeshi la Ulinzi: Seladhini
Mawasiliano: prof Kayili
Makazi: Mdee
Maliasili: Mch Peter Msigwa
Nishat na Madini: Mnyika
Ujenzi: Machemli
Uchukuzi: Mhonga Said
Viwanda: Olenywa
Elimu na Mfunzo: Mtinda
Afya: Dr Gilbert Mbasa
Maendeleo ya Jamii: Naomi Kaiula
Vijana na michezo: Mbilinyi Mr Two
Kilimo: Meshack Obulugwa
Maji: Haines Kiwia
NB:- Kama kutakua na changes ni kidogo sana!.

Tujiulize viongozi hawa wangetufikisha tunakoenda?? Manung'uniko, migogoro, majanga, umasikini na kuzorota kwa elimu na mengine kama haya yangeendelea kuwepo au wangefanikiwa kuyakabili??..
 
Mkuu! Acha kukurupuka, na usiwe msahaulifu na mvivu wa kusoma! Umeshasahau ilan ya CHADEMA? Haina baraza kubwa kama la mkwere, jipange uje na thread.
 
wanaweza sana kwani hauoni wala kusikia wanavyowachachafya mabwege wa thithiem....!
 
Hakuna chuo cha urais, uwaziri wala ukuu wa mkoa. Kama wengine walivyoweza hata hawa nao wangeweza. Kwani wewe huwezi?
 
Hata Chadema sasa itabidi wawe very clear, its not true kwamba wao wakiingia madakani watatekeleza sera zao, ama wataondoa kero zilizopo namna gani, watoe na realistic timelines, au la waliweke hili nalo liwe mjadala wa UMMA watu wachingine the best kusort out this mess up.

Kwa mfano, sitaki kusikia uongo kwamba wao wataondoa kabisa Ufisadi, na wananchi wajue kwamba ufisadi hauwezi kutokomea kabisa, unaweza kuzimia tu lakini baadaye unaweza kuamka na nguvu zaidi, kwa hiyo watuelekze wanamikakati gani ya kuhakikisha kwamba watakabiliana na life cycle ya ufisadi sustainably wasije kuwa kama CCM, wakiondoka wakina SLAA, MBOWE wakachipuka watu wa Ajabu kabisa.

Hii hoja ni ya msingi sana, na kwa sababu Chadema ndio the leading Political Party chances kwamba wanaweza kupata fursa ya kuongoza nchi yetu ni kubwa. tuna haki ya kujihakikishia kwamba uwezo wao wa kiorganization ni dhabiti. Watanzania tusifanye makosa ya kumuamini mtu mmoja pekee, tujifunze kutokana na kifo cha CCM, out past beloved mother. We need a strong organization.

Hawa watu wanajadirika sababu ndio team iliyopo.

ZITTO kishaanza kuonyesha kwamba angekuwa wrong candidate
 
Hata Chadema sasa itabidi wawe very clear, its not true kwamba wao wakiingia madakani watatekeleza sera zao, ama wataondoa kero zilizopo namna gani, watoe na realistic timelines, au la waliweke hili nalo liwe mjadala wa UMA watu wachingine the best kusort out this mess up.

Kwa mfano, sitaki kusikia uongo kwamba wao wataondoa kabisa Ufisadi, na wananchi wajue kwamba ufisadi hauwezi kutokomea kabisa, unaweza kuzimia tu lakini baadaye unaweza kuamka na nguvu zaidi, kwa hiyo watuelekze wanamikakati gani ya kuhakikisha kwamba watakabiliana na life cycle ya ufisadi sustainably wasije kuwa kama CCM, wakiondoka wakina SLAA, MBOWE wakachipuka watu wa Ajabu kabisa.

Hii hoja ni ya msingi sana, na kwa sababu Chadema ndio the leading Political Party chances kwamba wanaweza kupata fursa ya kuongoza nchi yetu ni kubwa. tuna haki ya kujihakikishia kwamba uwezo wao wa kiorganization ni dhabiti. Watanzania tusifanye makosa ya kumuamini mtu mmoja pekee, tujifunze kutokana na kifo cha CCM, out past beloved mother. we need a strong organization.

Hawa watu wanajadirika sababu ndio team iliyopo.

ZITTO kaisha anza kuonyesha kwamba angekuwa wrong candidate

Your the great thinker!... Thanks!
 
Nililiangalia baraza kivuli la mawaziri lililoundwa na upinzani bungeni.. nikaassume endapo kama Dr. Slaa angepita hili ndilo lingekua baraza lake la mawaziri..

Msemaji ofisi ya Raisi: Freeman Mbowe,
Msaidizi: Silinde David
Uwekezaji na Uwezeshaji: Matiko
Ofisi ya Waziri Mkuu: Vicent Kiboko
Ofisi ya Raisi: Said
Ofisi ya Raisi & Utawala Bora: Mch Nakse wa Karatu
Ofisi ya Makamu wa Raisi: Gekulu
Ofisi ya Raisi & Mazingira: Leticia Nyerere
OFisi ya Fedha: Zitto Kabwe Msaidizi: Christina Lissu
Mambo ya Ndani: Lema
Katiba ya Sheria: Tindu Lissu
Kimataifa: Wenje
Jeshi la Ulinzi: Seladhini
Mawasiliano: prof Kayili
Makazi: Mdee
Maliasili: Mch Peter Msigwa
Nishat na Madini: Mnyika
Ujenzi: Machemli
Uchukuzi: Mhonga Said
Viwanda: Olenywa
Elimu na Mfunzo: Mtinda
Afya: Dr Gilbert Mbasa
Maendeleo ya Jamii: Naomi Kaiula
Vijana na michezo: Mbilinyi Mr Two
Kilimo: Meshack Obulugwa
Maji: Haines Kiwia
NB:- Kama kutakua na changes ni kidogo sana!.

Tujiulize viongozi hawa wangetufikisha tunakoenda?? Manung'uniko, migogoro, majanga, umasikini na kuzorota kwa elimu na mengine kama haya yangeendelea kuwepo au wangefanikiwa kuyakabili??..

yani hili baraza liko weak sana,hivi huyu machemli angeweza kweli bomoabomoa kama ya magufuli! jamani tuache ushabiki hili baraza lisingetufikisha popote yani hapo naona vichwa viwili tuu au nchi ingeongozwa na kina sabodo au maaumuzi magumu kutoka kwa pengo au vatican
 
Nililiangalia baraza kivuli la mawaziri lililoundwa na upinzani bungeni.. nikaassume endapo kama Dr. Slaa angepita hili ndilo lingekua baraza lake la mawaziri..

Msemaji ofisi ya Raisi: Freeman Mbowe,
Msaidizi: Silinde David
Uwekezaji na Uwezeshaji: Matiko
Ofisi ya Waziri Mkuu: Vicent Kiboko
Ofisi ya Raisi: Said
Ofisi ya Raisi & Utawala Bora: Mch Nakse wa Karatu
Ofisi ya Makamu wa Raisi: Gekulu
Ofisi ya Raisi & Mazingira: Leticia Nyerere
OFisi ya Fedha: Zitto Kabwe Msaidizi: Christina Lissu
Mambo ya Ndani: Lema
Katiba ya Sheria: Tindu Lissu
Kimataifa: Wenje
Jeshi la Ulinzi: Seladhini
Mawasiliano: prof Kayili
Makazi: Mdee
Maliasili: Mch Peter Msigwa
Nishat na Madini: Mnyika
Ujenzi: Machemli
Uchukuzi: Mhonga Said
Viwanda: Olenywa
Elimu na Mfunzo: Mtinda
Afya: Dr Gilbert Mbasa
Maendeleo ya Jamii: Naomi Kaiula
Vijana na michezo: Mbilinyi Mr Two
Kilimo: Meshack Obulugwa
Maji: Haines Kiwia
NB:- Kama kutakua na changes ni kidogo sana!.

Tujiulize viongozi hawa wangetufikisha tunakoenda?? Manung'uniko, migogoro, majanga, umasikini na kuzorota kwa elimu na mengine kama haya yangeendelea kuwepo au wangefanikiwa kuyakabili??..

Sijaona chochote hapo zaidi ya ukanda, udugu na udini
 
Jibu rahisi kwa swali gumu!...

Jibu gumu swali rahisi.

CHADEMA wangeshinda nafasi ya Uraisi kwa idadi hiy hiyo ya wabunge? Huoni factors ambazo zingewawezesha CDM kushinda uraisi zingewawezesha kushinda nafasi nyingi zaidi ya wabunge hivyo mawaziri wangetoka kwenye pool kubwa zaidi? Na kama Dr. Slaa angeshinda angeteua wabunge kumi kwa mujibu wa Katiba huoni kwamba angeweza kuteua watu wenye uwezo pia kama hao mawaziri vivuli hawawezi?

Maswali mengine ni ya kipuuzi sana. Ni sawa nikuulize ungezaliwa wa kike ungeolewa au ungekuwa msagaji? Hapo unajibu vipi? Yote hayo yanategemea various factors.

Mawaziri Vivuli Chadema unaweza kuwapima kwa utendaji wao kama mawaziri vivuli. Huna haja ya kufanya assumption, wana majukumu yao kama mawaziri vivuli kwa hiyo wapime kwa kutumia utendaji wao na sio assumption.

Karibu.
 
Kwann unawaza hivyo?.. Kwa sababu ya imani ya Raisi!?

kaka hujui kama wadhamini wa chadema kama ni hao jamaa aliowataja Kashaga? Na pia akina Pengo wanajicholesha wanapoonekana kifua mbele kukitetea chadema. wao kama viongozi wa kiroho hawatakiwi kuonesha hisia zao dhahiri shahiri.Mnaowashangilia waangalieni sana wasituletee ya rwanda, maana walianza hivohivo.
 
Jibu gumu swali rahisi.

CHADEMA wangeshinda nafasi ya Uraisi kwa idadi hiy hiyo ya wabunge? Huoni factors ambazo zingewawezesha CDM kushinda uraisi zingewawezesha kushinda nafasi nyingi zaidi ya wabunge hivyo mawaziri wangetoka kwenye pool kubwa zaidi? Na kama Dr. Slaa angeshinda angeteua wabunge kumi kwa mujibu wa Katiba huoni kwamba angeweza kuteua watu wenye uwezo pia kama hao mawaziri vivuli hawawezi?

Maswali mengine ni ya kipuuzi sana. Ni sawa nikuulize ungezaliwa wa kike ungeolewa au ungekuwa msagaji? Hapo unajibu vipi? Yote hayo yanategemea various factors.

Mawaziri Vivuli Chadema unaweza kuwapima kwa utendaji wao kama mawaziri vivuli. Huna haja ya kufanya assumption, wana majukumu yao kama mawaziri vivuli kwa hiyo wapime kwa kutumia utendaji wao na sio assumption.

Karibu.

Kaka acha ussumptions hapa. wewe siunawajua walioshinda na walioshindwa ebu tupe list ya mawaziri kwa ufahamu wako
 
Back
Top Bottom