Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Ni mara kadhaa nimekua siteremshi uzi hapa kabla sijafanya mapembuzi yenye uyakinifu wa kina.
Dhamira yangu hapa ni kuyaweka hadharani yale niliyoyafanyia utafiti kuhusiana na kundi hili la wanawake katika ujumla wao.
Aidha viumbe hawa ambao ni Mama/Dada/Wake/Bibi/Binti/Shemeji zetu, awali nilikua nikijua tofauti walizonazo na Wanaume ni gender tu!, yaani zile tofauti za kimsingi.
Lakini siku baada ya siku nikaanza kugundua kumbe wanawake na wanaume wanazo tofauti hata ambazo si za msingi, mathalani hapa chini nitaziainisha tofauti hizo zisizokua za msingi.
> Nimeshuhudia mara kadhaa mko barabarani ambapo kuna magari yanaongozana, mara unasikia watu wanasema ile gari inaendeshwa na mwanamke gari ambayo iko kwa mbali kiasi cha kutomtambua muendeshaji. Na kweli inapowakaribia unakuta kilichosemwa ni sahihi na hata wewe ambae si dreva unaona kabisa gari hiyo hukua ukiiona inaendeshwa kama zingine.
> Kuna siku jirani yangu ambae ni dereva muajiriwa gari yake aliipeleka garage kwa service kabla ya safari, garage ambayo palikua na mafundi wanawake wawili, njiani wakati anasafiri tairi ya nyuma 1 ikachomoka alipokua anawapigia simu kule garage kuwalaumu akawa anawambia haya matairi lazima wamefunga mafundi wa kike, kitu kilichobainika baadae ni kweli.
> Kingine ni mwandiko kutumia kalamu atakapo andika mwanaume na mwanamke utaelewa tu!
> Cha kushangaza zaidi nimekigundua humu Jf na kule Fcbk kumbe hata katika uandishi wa threads/post zao zilivyo ukiangalia tu ule Mtiririko, Uwasilisho, Uandishi, Maudhui, Lugha waitumiayo lazima utagundua pozi flaniflani za kikekike!.
Huyo ndiyo mwanamke zaidi ya umjuavyo.
Naomba kutoa hoja.
Dhamira yangu hapa ni kuyaweka hadharani yale niliyoyafanyia utafiti kuhusiana na kundi hili la wanawake katika ujumla wao.
Aidha viumbe hawa ambao ni Mama/Dada/Wake/Bibi/Binti/Shemeji zetu, awali nilikua nikijua tofauti walizonazo na Wanaume ni gender tu!, yaani zile tofauti za kimsingi.
Lakini siku baada ya siku nikaanza kugundua kumbe wanawake na wanaume wanazo tofauti hata ambazo si za msingi, mathalani hapa chini nitaziainisha tofauti hizo zisizokua za msingi.
> Nimeshuhudia mara kadhaa mko barabarani ambapo kuna magari yanaongozana, mara unasikia watu wanasema ile gari inaendeshwa na mwanamke gari ambayo iko kwa mbali kiasi cha kutomtambua muendeshaji. Na kweli inapowakaribia unakuta kilichosemwa ni sahihi na hata wewe ambae si dreva unaona kabisa gari hiyo hukua ukiiona inaendeshwa kama zingine.
> Kuna siku jirani yangu ambae ni dereva muajiriwa gari yake aliipeleka garage kwa service kabla ya safari, garage ambayo palikua na mafundi wanawake wawili, njiani wakati anasafiri tairi ya nyuma 1 ikachomoka alipokua anawapigia simu kule garage kuwalaumu akawa anawambia haya matairi lazima wamefunga mafundi wa kike, kitu kilichobainika baadae ni kweli.
> Kingine ni mwandiko kutumia kalamu atakapo andika mwanaume na mwanamke utaelewa tu!
> Cha kushangaza zaidi nimekigundua humu Jf na kule Fcbk kumbe hata katika uandishi wa threads/post zao zilivyo ukiangalia tu ule Mtiririko, Uwasilisho, Uandishi, Maudhui, Lugha waitumiayo lazima utagundua pozi flaniflani za kikekike!.
Huyo ndiyo mwanamke zaidi ya umjuavyo.
Naomba kutoa hoja.