The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
Kuna mwanamke mmoja ambaye anafanya kazi kitengo cha haki za
binaadamu hapa tz nilikuwa napiga nae story.....
Maelezo aliyonipa yamenifanya nianze kuamini kuwa
hizi harakati za wanawake mwisho zitaleta maumivu mengi kwa wanaume
mfano anasema kwa ujibu wa haki za binadaamu...
Mume hutakiwi hata kugusa simu ya mke.
Kumuuliza nani amempigia mfano umesikia sauti ya kiume inaongea
kwenye simu na mkeo.....na mambo mengi mno.....
Mwisho tukaishia kubadilishana namba za simu..
Akaniambia niko free kumpigia time yeyote...hata usiku wa manane...
Mumewe hawezi kumuuliza wala kupokea simu yake...
Yeye na mumewe wote wanasheria.........
binaadamu hapa tz nilikuwa napiga nae story.....
Maelezo aliyonipa yamenifanya nianze kuamini kuwa
hizi harakati za wanawake mwisho zitaleta maumivu mengi kwa wanaume
mfano anasema kwa ujibu wa haki za binadaamu...
Mume hutakiwi hata kugusa simu ya mke.
Kumuuliza nani amempigia mfano umesikia sauti ya kiume inaongea
kwenye simu na mkeo.....na mambo mengi mno.....
Mwisho tukaishia kubadilishana namba za simu..
Akaniambia niko free kumpigia time yeyote...hata usiku wa manane...
Mumewe hawezi kumuuliza wala kupokea simu yake...
Yeye na mumewe wote wanasheria.........