Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Nimeongelea kisa ninachokijua na kinachomhusu mweupe na wapo weusi pia wanaoringa ila my point here ni huyo dada na nimekizungumzia kutokana na msemo wa TB kuwa mbega aliponzwa na uzuri wake
So weupe wake sio factor hapo.......ni uzuri wake.