- Thread starter
- #41
halafu mbona huyo uliyemshika hapo unapocheza sijui ndio kiduku cha wazee!.....ni mweupe lakn anaonekana tu kwa macho hana majivuno,,..hakuna bana.
Huoni yuko mwenyewe tu humo...
Angalia na status yangu kwenye jamii...masuala ya vijisent...kama we huna vijisent muibukie afu uone tabia inavyo-change ghafla...