Zanzibar wengi hawana bikra za tiGo
I assume na wewe hukumjua mwanamke yeyote kabla ya kufunga ndoa na mkeo, kama sivyo then hii post haina maana.Tatizo watu mmeshazoez uasherati mpaka mmeamua kujihalalishia!
Ni haki stahiki kabisa ya mumeo kukukuta hujaguswa na mwanaume yeyote. Kusamehewa ni haki yako pia lakini lazima ulione kosa ulilofanya(u need to acknowledge that it is not right that you were found not a virgin)
Na mimi nnachosisitiza ni owning mistakes na kukiri(Wenyewe mlishasema hamtosamehe bila mlengwa kukiri kosa)
Na kwa taarifa yako wako wenzio kibao wenye nazo pindi walipoolewa.
Najua wengi walishazisahau ila habari ndo iyo!
no offence but i think you are idealistic...try to put your theories kwenye dunia yetu hii ya kuonjana onjana..Tatizo watu mmeshazoez uasherati mpaka mmeamua kujihalalishia!
Ni haki stahiki kabisa ya mumeo kukukuta hujaguswa na mwanaume yeyote. Kusamehewa ni haki yako pia lakini lazima ulione kosa ulilofanya(u need to acknowledge that it is not right that you were found not a virgin)
Na mimi nnachosisitiza ni owning mistakes na kukiri(Wenyewe mlishasema hamtosamehe bila mlengwa kukiri kosa)
Na kwa taarifa yako wako wenzio kibao wenye nazo pindi walipoolewa.
Najua wengi walishazisahau ila habari ndo iyo!
Nisaidieni ili kama kuna uwezekano niandae nauli na nianze mchakato wa kupata kitambulisho ili niende Zanziba nikaibue bikra ya kuoa
Nia yako ni kuoa Bikira au unataka mke mwema???????????
Mbona hueleweki?????????
Jihadhari sana USIJE UKAOA VITU BADALA YA MKE
Nikiwa katika miaka ya balehe niliwasikia wazee wakijisifu kuwa katika zama zao walikuwa wanaoa wanawake wabichi kabisa yaani bikra. Waliendelea kusema kuwa siku hizi vijana wetu wanakula makapi. Sikuweza kuchangia hoja kwa sababu sikuwa mmoja wao katika mazungumzo yao ila tu nilisikia kwa kuwa nilikuwa pembeni ya nyumba na wao hawakiniona.
Habari ile nilimuuliza kaka ambaye niliweza kumkabili kutokana na ukaribu wake kwangu licha ya kuwa alikwisha oa. Alinifahamisha nini maana ya bikra baada ya kuniuliza swali kuwa nimeshaanza mapenzi au laa. Alinieleza kwa lugha ya staha ambayo sikupata jibu zuri la moja kwa moja. Nilipata ufafanuzi zaidi kijiweni kwa washikaji.
Nilidhamiria nikikua lazima nioe bint bikra na msomi, sikutaka kula makapi ili nami nijinasibu kama wale wazee siku za usoni. Kwa sasa nimemaliza chuo kikuu nina degree, nimeona kabisa ndoto yangu imepotea. Kwa kuwa kaka bado yupo, niliamua kumkata stimu kwa kumkumbusha lile swali la wakati nikiwa balehe. Kaka alicheka sana kisha akajibu kwa mzaha kuwa kama unataka bikra nenda Zanzibar huko ziko nyingi sana wanazitunza hadi waolewe, akaishia hapo bila shaka alihisi kama sikuwa serious.
Wanajamvi naomba mnijuze, je ni kweli kwa yafuatayo:-
1. Je ni kweli Zanzibar kuna bikra za kumwaga?
2. Je wanatumia njia gani hawa kuzitunza bikra hadi umri mkubwa wakati vishawishi na utandawazi ni mkubwa kwa
sasa?
3. Vijana wa kiume wa Zanzibar wanajipoza wapi au nao wana mbinu mbadala ya kukidhi haja zao za mwili?
Nisaidieni ili kama kuna uwezekano niandae nauli na nianze mchakato wa kupata kitambulisho ili niende Zanziba nikaibue bikra ya kuoa
Mleta uzi uliza
direct tukujibu haya mambo ya kuzunguka mbuyu sio mazuri!! Znz bikra(za
mbele) za kukinga tu,wasichana wa kule wanatoa GOti tu huku wakibakiza
Bikra ya mbele kwa ajili ya m/me mtarajiwa,next time uliza vitu
straight!
Amsterdam haiitaji vidato kujua nini mleta uzi anataka..SnowBall hapo ndio ninapokupendeaga tuuuuu umeonaeeeeeeeeeeeeeee,
Unazungumzia bikra ipi??? Unaleta uchokozi kwa kuanzia mbali??? Ngoja wenyewe waje. Lol
no offence but i think you are idealistic...try to put your theories kwenye dunia yetu hii ya kuonjana onjana..
Mleta uzi uliza direct tukujibu haya mambo ya kuzunguka mbuyu sio mazuri!! Znz bikra(za mbele) za kukinga tu,wasichana wa kule wanatoa GOti tu huku wakibakiza Bikra ya mbele kwa ajili ya m/me mtarajiwa,next time uliza vitu straight!