Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,762
- 155,465
Huku Uswahilini kwetu wanawake wengi wanatamani sana kuolewa, lakini cha kusikitisha vijana wengi wa kiume wanaogopa kuoa. Hivi nini huenda ikawa inasababisha hali hii?
Kwa tamaduni za kibantu imekuwa kawaida mwanamke kuwa tegemezi katika hawa wanandoa wawili, kwahiyo mabinti wengi wanataka kuingia katika ndoa ili wapate unafuu wa maisha. Kwani wanajua kama mwanaume anaamua kuoa basi huenda atakuwa amejiweka sawa au ana shughuli ya kumwingizia kipato. Sasa basi kwa upande wa wanaume wao inapofikia suala la kuoa inakuwa ngumu kwani anajua familia itaongezeka akijua hali ngumu ya maisha.Huku Uswahilini kwetu wanawake wengi wanatamani sana kuolewa, lakini cha kusikitisha vijana wengi wa kiume wanaogopa kuoa. Hivi nini huenda ikawa inasababisha hali hii?
Hii ndio inafanya watu waamini wanawake ni wengi kuliko wanaume kumbe sio ila wanaume waoaji ndio wachache na wanawake wanaotaka kuolewa ni wengi mno.
Fanya tena utafiti mkuu.Hyo ilikuwa zamani siku hizi wanawake wengi hawapendi kuolewa coz hawataki kubanwa banwa.
Halafu hii tabia ya wanawake kuwazoea waume zao mapema inawakatisha tamaa. Unachumbia mtoto akiwa na heshima pengine anakupa shikamoo. Owa tu baada ya mwezi mmoja anakuwa yeye ndie mwenye sauti na hapo tena ndio kafunguliwa kila kitu.
Duh! Hiyo ya kumuamkia mume shikamoo kama unamuamkia baba ngumu, lol! Eti shikamoo ...
Shikamoo Mpenzi!!
Mbona haueleweki!!!!!Hii ndio inafanya watu waamini wanawake ni wengi kuliko wanaume kumbe sio ila wanaume waoaji ndio wachache na wanawake wanaotaka kuolewa ni wengi mno.