Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Wanawake wengi wanachangia sana kwa waume zao kuwa na vidumu aka nyumba ndogo. Mkiwa pamoja mwanamke ana visababu vingi sana vya kumfanya asiwajibike. Hivyo inawafanya wababa watoke (kidooogo) ili kurekebisha afya zao. Of course huko kwenye vidumu hakuna kulala maana kujituma kwao ni kwa kwenda mbele maana wanajua juhudi yake itamfanya urudi kwake. Amkeni wamama.
hamna ukweli. Huko nyumba ndogo si mnafata wanawake hao hao. Kama mkeo anafanya sivyo rekebishaneni. Sio kuhangaika hangaika kama kuku wanaotaka kutaga!