KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Hivi jamani ni utandawazi au maisha magumu???
Mimi sielewi nini kinatokea kwa wadada waleo sijui nimaendeleo??au njaa zanmani ulikuwa ukiwa na demu unaweza kupatakiburudisho zaidi ya x6 hivi unaona aibu unampa pesa!!! lakini wasiku hizi ukibahatika ajakudai sehemu ya tukio basi ujue next time uende na hela vinginevyo uhusiano wenu utakufa nakama utakuwa unampigia simu utaona haipokelewi!!!Hata kama anafanyakazi tabia nihilehile je nini wajameni???:fear::noidea:
Mimi sielewi nini kinatokea kwa wadada waleo sijui nimaendeleo??au njaa zanmani ulikuwa ukiwa na demu unaweza kupatakiburudisho zaidi ya x6 hivi unaona aibu unampa pesa!!! lakini wasiku hizi ukibahatika ajakudai sehemu ya tukio basi ujue next time uende na hela vinginevyo uhusiano wenu utakufa nakama utakuwa unampigia simu utaona haipokelewi!!!Hata kama anafanyakazi tabia nihilehile je nini wajameni???:fear::noidea: