Wanawake wanene wa wastani, walofungasha nyuma (makalio ya kutosha), wenye miguu mikubwa (ya bia)

Kama hili la Omotola halimtoshi basi saizi yake huyo anaerukaruka

jdn.png

La umotola la kawaida sana hilo ndugu yangu, angalia vizuri mitaani, wanawake wengi wakilibana kama aliovyofanya Omotola, wanakuwa hivyo! Hilo sio la Haja, wakati tukiwa UDSM, wahanga walikuwa hawawezi kulipa hilo A+. Bado nakuomba ujaribu ya wanyakyusa, wahaya na wasukuma....
 
Aise hii thread imewachosha mademu wa jf wasio na izo sifa!
 
Lakini mtoa mada si kasema unene wa wastani? Omotola ana fit qualifications za mtoa mada. Wewe unaongelea XXXL.

La umotola la kawaida sana hilo ndugu yangu, angalia vizuri mitaani, wanawake wengi wakilibana kama aliovyofanya Omotola, wanakuwa hivyo! Hilo sio la Haja, wakati tukiwa UDSM, wahanga walikuwa hawawezi kulipa hilo A+. Bado nakuomba ujaribu ya wanyakyusa, wahaya na wasukuma....
 
Yapasa umrudie Mungu,atakupa nguvu za kushinda tamaa hizo!!Otherwise utaangamia pabaya...
 
Back
Top Bottom