Wanawake wanavutiwa na 'details' gani za suti za wanaume?

Tuambizane maana wengine tunanunua suti kutokana na nani katengeneza, rangi (kijivu, navy blue, dark blue, black n.k) au kutokana na occasion yenyewe... hatujali sana kama inavifungo vya dhahabaru au michirizi ya fedha kwenye kingo zake! Lakini inaonekana - sijuii lakini - yuawezekana wapo wanawake wanaopenda suti kwa mwanamme kwa kuangalia details fulani fulani ambazo labda kwetu wanaume siyo za muhimu kihivyo...
 
aisee wamefungua a new "Suit Warehouse" hapa sasa kuna promotion inaendelea na yule jamaa amesema kuwa "you gonna like it, I guarantee it" sasa nataka nipick up the offer. Tatizo ni kuwa marra nyingi suti nimekuwa nikiangalia rangi, jina n.k Lakini shemeji yenu kaja kaniambia "suti siyo suti tu kuna details zinaangaliwa". Sasa nimemuuliza aniambie kagoma kabisa kasema niende kuchagua au ataenda kunichagulia kwa sababu yeye kama mwanamke hata suti yangu ifanane na nyingine!


Ndio imebidi niulize - wanawake mnaangalia suti za namna gani za wanaume na hapa nazungumzia suti suti!

Kuna siku mimi nilivaa dark suit with white pinstripes na nilisifiwa sana na siku hiyo nilichukua namba kama tano hivi....lol

Sasa sijui yeye shemeji yetu kama anapenda patterns za namna hiyo ila kwa uzoefu wangu wadada huwa wanazipenda sana.
 
Kuna siku mimi nilivaa dark suit with white pinstripes na nilisifiwa sana na siku hiyo nilichukua namba kama tano hivi....lol

Sasa sijui yeye shemeji yetu kama anapenda patterns za namna hiyo ila kwa uzoefu wangu wadada huwa wanazipenda sana.


Tuwekee picha basi kaka ili wengine ambao vichwa vimeshatafunwa na mende tuweze kuambulia kitu!!


Babu DC!!
 
Tuwekee picha basi kaka ili wengine ambao vichwa vimeshatafunwa na mende tuweze kuambulia kitu!!


Babu DC!!

Hiyo hapo mojawapo!

Pinstripe.jpg
 
Nimekuelewa sasa Mzee.
What I look at, not in particular order, and not always all of these, but ikitokea I will note ni:
  1. The fabric: Is it wool, linen, cashmere, wool+silk, etc...
  2. Does it have any special feature (pinstripes, appearing stchings etc)
  3. The collar: Is there any space between the nec and the collar? there shouldn't be, even when he moves his head
  4. Is there any plit around the buttons? if there is then it is too tight
  5. Can he move his arms comfortably? (scratch his left shoulder with his right hand)? if he can't it is too small
  6. Is if 'floating' around his body or does it fit him well? (zingatia point 4 nd 5 isije kua too small pia)
  7. Does it cover his butts? If not then it is too short
  8. When he raises his arms does it uncover his butts? if not then it's too long.
  9. Akiwa na vitu mfukoni inakaa kama inahang au inakua sawa tu?
  10. And the Nec Plus Ultra: Can I see a little 'tape' of his shirt sleeves kwenye mikono? (1 to 2 cm, not more, not less)
Of course hivi ni kwa watu wote, sijasema vya kumatch the shoes, the shirt, the tie etc...
 
Nimekuelewa sasa Mzee.
What I look at, not in particular order, and not always all of these, but ikitokea I will note ni:
  1. The fabric: Is it wool, linen, cashmere, wool+silk, etc...
  2. Does it have any special feature (pinstripes, appearing stchings etc)
  3. The collar: Is there any space between the nec and the collar? there shouldn't be, even when he moves his head
  4. Is there any plit around the buttons? if there is then it is too tight
  5. Can he move his arms comfortably? (scratch his left shoulder with his right hand)? if he can't it is too small
  6. Is if 'floating' around his body or does it fit him well? (zingatia point 4 nd 5 isije kua too small pia)
  7. Does it cover his butts? If not then it is too short
  8. When he raises his arms does it uncover his butts? if not then it's too long.
  9. Akiwa na vitu mfukoni inakaa kama inahang au inakua sawa tu?
  10. And the Nec Plus Ultra: Can I see a little 'tape' of his shirt sleeves kwenye mikono? (1 to 2 cm, not more, not less)
Of course hivi ni kwa watu wote, sijasema vya kumatch the shoes, the shirt, the tie etc...


Ahsante sana super mod....RR wa ukweli,

Hapa sasa naweza kulala....hata kama haya materials hayajakaa kichwani bado, ninajua pa kukimbilia siku nikitaka kwenda maeno ya Kariakoo kubeba moja toka kwa Wachagga!!

Babu DC!!
 
Mkuu vaa suti ikuvutie wewe, sio mwanamke. The rule of thumb: hata siku moja usinunue suti kwa ajili ya kumfurahisha mwanamke. Nilishawahi kuuliza wanawake wa hapa hapa JF kama walishawahi kutovutiwa na mwanaume aliyevaa suti iliyomkaa. Sikupata jibu. So, nunua na vaa suti inayokutosha kulingana na unapoenda.

Kumbuka kuvaa suti si lazima tuu kumvutia mwanamke. Otherwise, wanaume wote wanaovaa jeans wangekuwa hawawavutii wanawake. There is something more in a man which attract a woman than a suti. Pia suti inaweza kukufanya uonekane nadhifu na mwenye heshima ndani ya jamii kwa ujumla.

Tatizo ambalo huwa naliona ni kuvaa suti visivyo. That is the big big problem. Zipo sheria sheria ambazo zinatakiwa kuzifuatwa unapovaa suti. Kama hutafuata hizi sheria unaweza kujikuta upo matatani kwa kuvunja moja ya sheria hizo. Sheria zenyewe ambazo nimezinyakua mahali ni kama ifuatavyo. Unapovaa suti au tai hakikisha huvunji sheria hizi hapa chini:-

1. Ni marufuku kuvaa kandambili au malapa
2. Ni marufuku kuvaa soksi mbovu.
3. Ni marufuku kujisaidia uchochoroni.
4. Ni marufuku kupenga kamasi barabarani.
5. Ni marufuku kupanda daladala.
6. Ni marufuku kuendesha baiskeli au pikipiki.
7. Ni marufuku kucheka cheka hovyo.
8. Ni marufuku kuomba change dukani.
9. Ni marufuku kubeba mfuko wa plastiki maarufu kama rambo
10. Ni marufuku kuingia kwenye kibanda cha simu.
11. Ni marufuku kula magengeni.
12. Ni marufuku kuonekana unatafuna barabarani.
13. Ni marufuku kutembea na pesa za sarafu mifukoni mwako.
12. Ni marufuku kulia hata kama umeletewa taarifa ya msiba.
14. Ni marufuku kupiga miruzi.
15. Ni marufuku kuonekana unatoka mijasho kama unasukuma mkokoteni.
16. Ni marufuku kuongea kwa kelele.
17. Ni marufuku kunywa chai au kahawa kwa kutumia kikombe cha plastiki.
18. Ni marufuku kutembea kwa miguu.
19. Ni marufuku kukimbia.
20. Ni marufuku kunuka mdomo wala kikwapa hili kosa kubwa sana na hukumu yake mpaka mbinguni ipo.
21. Ni marufuku kusema uongo.
22. Ni marufuku kuonekana umekasirika unatakiwa uwe na uso uliokunjuka.
23. Ni marufuku kumchapa mtoto.
24. Ni marufuku kusababisha ubishi au mjadala usio na maana (hata hapa JF).
25. Ni marufuku kuvaa suti na lebal yake (hii nimeongezea)

Source: HABARI NA MATUKIO: ZIJUE SHERIA ZA UVAAJI WA TAI NA SUTI

Kama huwezi kuzifuata hizo sheria, stick with the jeans, which is my favorite.
 
Mkuu vaa suti ikuvutie wewe, sio mwanamke. The rule of thumb: hata siku moja usinunue suti kwa ajili ya kumfurahisha mwanamke. Nilishawahi kuuliza wanawake wa hapa hapa JF kama walishawahi kutovutiwa na mwanaume aliyevaa suti iliyomkaa. Sikupata jibu. So, nunua na vaa suti inayokutosha kulingana na unapoenda.

Kumbuka kuvaa suti si lazima tuu kumvutia mwanamke. Otherwise, wanaume wote wanaovaa jeans wangekuwa hawawavutii wanawake. There is something more in a man which attract a woman than a suti. Pia suti inaweza kukufanya uonekane nadhifu na mwenye heshima ndani ya jamii kwa ujumla.

Tatizo ambalo huwa naliona ni kuvaa suti visivyo. That is the big big problem. Zipo sheria sheria ambazo zinatakiwa kuzifuatwa unapovaa suti. Kama hutafuata hizi sheria unaweza kujikuta upo matatani kwa kuvunja moja ya sheria hizo. Sheria zenyewe ambazo nimezinyakua mahali ni kama ifuatavyo. Unapovaa suti au tai hakikisha huvunji sheria hizi hapa chini:-

1. Ni marufuku kuvaa kandambili au malapa
2. Ni marufuku kuvaa soksi mbovu.
3. Ni marufuku kujisaidia uchochoroni.
4. Ni marufuku kupenga kamasi barabarani.
5. Ni marufuku kupanda daladala.
6. Ni marufuku kuendesha baiskeli au pikipiki.
7. Ni marufuku kucheka cheka hovyo.
8. Ni marufuku kuomba change dukani.
9. Ni marufuku kubeba mfuko wa plastiki maarufu kama rambo
10. Ni marufuku kuingia kwenye kibanda cha simu.
11. Ni marufuku kula magengeni.
12. Ni marufuku kuonekana unatafuna barabarani.
13. Ni marufuku kutembea na pesa za sarafu mifukoni mwako.
12. Ni marufuku kulia hata kama umeletewa taarifa ya msiba.
14. Ni marufuku kupiga miruzi.
15. Ni marufuku kuonekana unatoka mijasho kama unasukuma mkokoteni.
16. Ni marufuku kuongea kwa kelele.
17. Ni marufuku kunywa chai au kahawa kwa kutumia kikombe cha plastiki.
18. Ni marufuku kutembea kwa miguu.
19. Ni marufuku kukimbia.
20. Ni marufuku kunuka mdomo wala kikwapa hili kosa kubwa sana na hukumu yake mpaka mbinguni ipo.
21. Ni marufuku kusema uongo.
22. Ni marufuku kuonekana umekasirika unatakiwa uwe na uso uliokunjuka.
23. Ni marufuku kumchapa mtoto.
24. Ni marufuku kusababisha ubishi au mjadala uso na maana.
25. Ni marufuku kuvaa suti na lebal yake (hii nimeongezea)

Source: HABARI NA MATUKIO: ZIJUE SHERIA ZA UVAAJI WA TAI NA SUTI

Kama huwezi kuzifuata hizo sheria, stick with the jeans, which my favorite.

na hali hewa ya dar ya joto most of time
suti inakuwaje?
 
Nimekuelewa sasa Mzee.
What I look at, not in particular order, and not always all of these, but ikitokea I will note ni:
  1. The fabric: Is it wool, linen, cashmere, wool+silk, etc...
  2. Does it have any special feature (pinstripes, appearing stchings etc)
  3. The collar: Is there any space between the nec and the collar? there shouldn't be, even when he moves his head
  4. Is there any plit around the buttons? if there is then it is too tight
  5. Can he move his arms comfortably? (scratch his left shoulder with his right hand)? if he can't it is too small
  6. Is if 'floating' around his body or does it fit him well? (zingatia point 4 nd 5 isije kua too small pia)
  7. Does it cover his butts? If not then it is too short
  8. When he raises his arms does it uncover his butts? if not then it's too long.
  9. Akiwa na vitu mfukoni inakaa kama inahang au inakua sawa tu?
  10. And the Nec Plus Ultra: Can I see a little 'tape' of his shirt sleeves kwenye mikono? (1 to 2 cm, not more, not less)
Of course hivi ni kwa watu wote, sijasema vya kumatch the shoes, the shirt, the tie etc...


Naam! sasa hapa tuna pakuanzia - sasa dada zetu wengine nao huw awanaangalia hivi vitu au niwachache? Kwa hiyo hapa inawezekana ni muhimu kutokwenda kununua suti bila kuwa na mwandani wako!
 
Mkuu vaa suti ikuvutie wewe, sio mwanamke. The rule of thumb: hata siku moja usinunue suti kwa ajili ya kumfurahisha mwanamke. Nilishawahi kuuliza wanawake wa hapa hapa JF kama walishawahi kutovutiwa na mwanaume aliyevaa suti iliyomkaa. Sikupata jibu. So, nunua na vaa suti inayokutosha kulingana na unapoenda.


Hahahaahaha, EMT you are crazy! Ni lini uliuliza hilo swali in bold? Mi nilikua wapi, mbona sikuliona?
Hayo mengine nimecheka hadi basi! hasa number 12 and 20. sasa number 24 unahakikishaje husababishi mijadala hiyo? ikianza in your back je?
Anyway, thank you. I think those rules should aply to any man, as soon as he dresses up, no matter how he dresses.
 
Back
Top Bottom