cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
mimi kwa mtazamo wangu hilo la hela wala si tatizo , wala kutokusoma! tatizo langu kubwa ni bikira yako tu! i need an expert one, ebo! Kaunga bikira ya mumeo bado hujafanikiwa kuitoa tu?? ebo!Usijali dada yangu najiamini sana na wala hilo sio tatizo kwangu.Inakuaje kama sina hela ya kujiendeleza?Unataka kuniambia sitapata mpenzi muda huu mpaka nisome?Jamani mambo gani haya?Maskini wataoa wapi na lini?
Last edited by a moderator: