Mtoto wa kitaa
Senior Member
- Nov 7, 2012
- 149
- 17
Subiri kidogo,wanakuja wakupe maujanja.
wadau ni kitu ambacho nimekiona kuwa baadhi ya wanawake hawapendi ukweli mfano mnapoaanza mahusiano ukaona hyu hatutafika mbali ukimwambia tuachane kwa kheri kwani miye na wewe hatuendani hapo badaye tunaweza kuja umizana miiyo tuwe marafiki tu hawataki haya pale unapomwambia sina pesa sasa hawamini kabisa na mengine mengi mengi tu ila mdanganye sasa du utapenda atakupenda sana
Kiongozi wao kipofu hao,wewe danganya tu halafu unakula mambo!Msichana unapomweleza ukweli humpati, ukimdanganya hata katika mazingira anayohisi anadanganywa utampata!
Je, wanawake ni wa kudanganywa tuu?
Hii thread ilipendeza
zaidi iwe kule kwenye jukwaa letu la MMU,Huku zinaweza ingia siasa.
Lakini mimi nina uhakika wanaopenda kudanganywa ni wanaume,yani hii
nimeshuhudia mwenyewe.Ukimwambia ukweli anakuona muongo.
Hapana.ukweli huweka huruMsichana unapomweleza ukweli humpati, ukimdanganya hata katika mazingira anayohisi anadanganywa utampata!
Je, wanawake ni wa kudanganywa tuu?
Duh! hivi kumbe, kwangu naona siyo
Kuna vitu vingine hata siyo vya kuuliza wakati jibu unalo mwenyewe kabla haujaulizaNimegundua wanawake wengi hupenda kuongopewa hata kwa vitu ambavyo havihitaji kudanganywa.. Na hili limenitokea kwa % kubwa sana wengi nimekua nikiwaongopea ndipo upewa thaman ktk mapenzi. Ila kuna wakati nachoka na haya maisha nahitaji mtu sahihi ambaye atastahimili ukweli ktk maisha kwani uongo huwa hauna faida japo sometimes huwa una faida ila kwa %ndogo... Na hata ukimuaproach kwa kuweka wazi baadhi ya mambo yako imekua ni km kumkimbiza mtoto wa kike...mpe sound za uongo sasa lazima anase.. Swali linakuja Je! niendelee kuwa muongo ktk mapenzi au nisimame na ukweli niendelee kuweweseka na mapenzi?
Kuna vitu vingine hata siyo vya kuuliza wakati jibu unalo mwenyewe kabla haujauliza
Mkuu fata moyo wako,ukiamua kuwa muongo uwe tena uongoze chumvi kwa sanaaaa,ili uendelee kuwapata waongo wenzio
Ukiamua kuwa mkweli unaweza pia
Chaguo ni lako.
Sema wanawake tunatofautiana mkuu mi ukinidanganya najuaaaa afu nabaki nakuchora tuMkuu imebidi nicheke tu aseee hivi ndivyo mlivyounbwa au ni basi tu hivi hata ngozi za akina trump ziko hivi hivi km za huku kwetu africa?
Wanawake ukiwaambia ukweli wanakuona hufai
Sema wanawake tunatofautiana mkuu mi ukinidanganya najuaaaa afu nabaki nakuchora tu
Bila mwenyewe kujua
Wengine wanapenda kudanganywa sababu,utamueleza ukweli baby nakupenda ila ndo naanza maisha,unampeleka gheto hata godoro huna mnalala kwenye mkeka
Mwisho unakuja kufanikiwa unamsahau uloanza naye maisha,unabadili mienendo sasa wanawake wa aina hiyo wanaona bora tu umdanganye usimpeleke gheto
Mpeleke hotel mtoto ale maisha kwa kahela kako ka mkopo safii,huo hata kama uongo ataridhika nao tu
Ni ukiniambia ukweli ndo nitakuona unafaaWanawake ukiwaambia ukweli wanakuona hufai