shabu tena?? duh!Usemalo hutegemea na kwakuwa ile ki2 hainaga alama wala haiko used ikipata maji na ndimu au shabu hurudi kuwa mpya kama ndio inatoka kiwandani. ila kumbuka mla huliwa
shabu tena?? duh!Usemalo hutegemea na kwakuwa ile ki2 hainaga alama wala haiko used ikipata maji na ndimu au shabu hurudi kuwa mpya kama ndio inatoka kiwandani. ila kumbuka mla huliwa
sure thing!Of course wana dharau na hata wanaume wanaotoka nje ya ndoa na hao wanaume wanatembea na hao wanawake walioko kwenye ndoa nao wana dharau vile vile!
Inashangaza sana, wanaume tukitoka nje ya ndoa huwa tunarudi na nidhamu tu na zawadi kedekede nyumbani na malavidavi ya kutosha kwa mama watoto. Lakini wao wakitiwa nje basi nyodo mtindo mmoja ndani, kwanini lakini???
True. Niliwahi kuishi maeneo ya kinondoni; wake za watu wanafanywa kitu mbaya sana hata kutaja nashindwa; na akishazoea basi - na ndani hawezi kumpatia mumewe!Anaringia alichofanywa huko kwani alikikosa kwako, kaka mwizi lazima awe fundi
Hili nalo nenoNaunga mkono tena wengi wa hao wanawake wanawalaza waume zao mzungu wa nne kama siyo vyumba tofauti.
Nyumba zingepewa vinywa mmmmmh tungekimbiana
unang'atwa na nini usiku funguka vizuri.Tunang'atwa sana usiku