<br />Kama mkeo ana guts za kutoka nje nawewe mumewe ukajua kabisa kua <br />
<br />
anafanya hivo na ukamezea... Kuna kitu gani cha kukuheshimia hapo??
Mimi nagonga sana wake za watu ndo maana najua ninachoongea. Yaani akija kwangu atamkandia mumewe kishenzi,, oooh jamaa leo nikirudi atakuwa kanuna huyo!! mara oohh jamaa najua leo atataka kupekua simu yangu na makandokando mengi tuKama mkeo ana guts za kutoka nje nawewe mumewe ukajua kabisa kua
anafanya hivo na ukamezea... Kuna kitu gani cha kukuheshimia hapo??
Sijatendwa mkuu,, mimi ndo nawamega wake za watu kinoumer ndo maana najua. Yaani hata akipigiwa simu tu na mumewe wakati nakula mzigo,, kwanza anatoa msonyo wa kufa mtu kwamba mshikaji anasumbua, na hapo kaka nitapewa kila kitu kama sina akili nzuriKaribu Jamvini mkuu umetendwa nini? Pole!
<br />
<br />
hapo nakuunga mkono, yaani kabisa anajua kuwa wife anaibia nje then anataka aje na heshima! Amuheshimu vipi wakati ashajua kule kapewa vitamu zaidi yake?
kwanza kwa nini mtoke nje ya ndoa zenu?
mmmmmhh! ngoja nikanywe uji wa ulezi na ukwaju kwanzaKama mkeo ana guts za kutoka nje nawewe mumewe ukajua kabisa kua
anafanya hivo na ukamezea... Kuna kitu gani cha kukuheshimia hapo??
Mimi nagonga sana wake za watu ndo maana najua ninachoongea. Yaani akija kwangu atamkandia mumewe kishenzi,, oooh jamaa leo nikirudi atakuwa kanuna huyo!! mara oohh jamaa najua leo atataka kupekua simu yangu na makandokando mengi tu
mmmmmhh! ngoja nikanywe uji wa ulezi na ukwaju kwanza
Wewee......nibakishie naja!!!Upo mwingi.... toka nimefuturu sijatia sunnah! lol
From my experience ukitembea na wake za watu sana huwezi hata
ku admit kwa watu let alone kujisifia......mbele za watu.......
Unless sio kweli.............
Wewee......nibakishie naja!!!
Mkuu hapa unachoongelea wewe,,,ni ya huko kwenye real life,, lakini hapa JF tunaingia na ID tofauti ili kuweka ukweli ote kwa usalama wetu. Wewe unadhani mtaani utajitaja?? Wewe mwenyewe hapa umetuwekea picha ya Denzel na si wewe mwenyewe original. Hapa tunaongea ukweli kabisaaa, na kupata maoni ya watu wengineFrom my experience ukitembea na wake za watu sana huwezi hata
ku admit kwa watu let alone kujisifia......mbele za watu.......
Unless sio kweli.............
Hebu jiulize kwamba hapa JF kwa mimi kusema ukweli kabisa kwamba nagonga sana wake za watu.....what is the worst case scenario? Mtaani naweza kuuawa niki admit hill,, lakini hapa ni cyber space tunayoongea ni ya kweli na hakuna wa kutufanya kituThank you....
mkuu hapa unachoongelea wewe,,,ni ya huko kwenye real life,, lakini hapa jf tunaingia na id tofauti ili kuweka ukweli ote kwa usalama wetu. Wewe unadhani mtaani utajitaja?? Wewe mwenyewe hapa umetuwekea picha ya denzel na si wewe mwenyewe original. Hapa tunaongea ukweli kabisaaa, na kupata maoni ya watu wengine