chitanda.nyoka
Senior Member
- May 3, 2012
- 193
- 43
Humu jf nimegundua kitu kua wengi wanaoandika kua wanatafuta wachumba mume/mke huwa wanaandika tu kujifurahisha coz nna kaka yangu serious anataka kuoa huwa anaingia jf hila hawezi ku post yy hajajiunga akasoma post kuna mdada anatafuta mume vigezo alivyotaja anavyo vyote akaniomba ni pm huyo dada nimpe email na namba ya cm hadi leo hajajibu,km mkishafanikiwa pia mnaweza kusema nimeshapata mtu cyo kukaa kmya.