Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Haya mambo hayahitaji kupekuana, for sure unaweza pata kifafa ghafla. Tuombe Mungu atupe neema.
Mimi huwa kila kitu akisema/akitaka kufanya wala simpingi,basi sasa anasema simpendi eti kwa nini hata sihoji!....na hapo ndio nashindwa kuelewa kabisaaaaaaaaaa.
Edson, ni kweli hiyo au ndizo hadithi za Abunuwasi au za Alfu Lela Ulela????
Umeongea points tupu ingawa kuna wanawake wengine wakipewa uhuru wanautumia vibaya.